Nafurahia sana maisha yangu mapya

Nafurahia sana maisha yangu mapya

Baada ya kufanikiwa kubadil jinsia kutoka wa kiume hadi wa kike.nahisi kuwa na furaha sana maana maisha ya ukiume nilikuwa nayachukia sana ila sasa nnafuraha maana waatalam wamenibadili plus nakufanyiwa plastic surgery sasa mm sio mweusi tena bali mzungu.
Matatizo ya afya ya akili ni makubwa sana kuliko tunavyo fikiria.
 
Hauwi mzungu kwa kubadili jinsia au kubadli rangi ya ngozi.

Ukilinganishwa wewe na Michael Jackson na Cole Palmer hao wawili ni weupe kukuzidi ila bado wanatambulika kama blacks.

Hii ni kwakua kuna kitu kinaitwa ethnicity, nani aliyekuzaa, kama aliyekuzaa ni muAfrika, wewe ni muAfrika tu hata uwe mweupe kama karatasi za kwa Masumin Printways.
 
Baada ya kufanikiwa kubadil jinsia kutoka wa kiume hadi wa kike.nahisi kuwa na furaha sana maana maisha ya ukiume nilikuwa nayachukia sana ila sasa nnafuraha maana waatalam wamenibadili plus nakufanyiwa plastic surgery sasa mm sio mweusi tena bali mzungu.
Una mental issue wewe
 
Nshamwambia atafute kazi afanye, awe na standard siwezi mwambia asiliwe maake hata angefanya kimya kimya hayanihusu

Sasa huyu nadhani ni wale wa kuingizwa usiku wa manane na kutoka muda huo huo

Kina James waliringa hvhv dk za jioni hawana hata chumba zaidi ya kuishia kulalia kwa watu


Astakafirulah
 
Nshamwambia atafute kazi afanye, awe na standard siwezi mwambia asiliwe maake hata angefanya kimya kimya hayanihusu

Sasa huyu nadhani ni wale wa kuingizwa usiku wa manane na kutoka muda huo huo

Kina James waliringa hvhv dk za jioni hawana hata chumba zaidi ya kuishia kulalia kwa watu


Astakafirulah
Mungu amsaidie sana!😅
 
Baada ya kufanikiwa kubadil jinsia kutoka wa kiume hadi wa kike.nahisi kuwa na furaha sana maana maisha ya ukiume nilikuwa nayachukia sana ila sasa nnafuraha maana waatalam wamenibadili plus nakufanyiwa plastic surgery sasa mm sio mweusi tena bali mzungu.
Nachoka sana mimi
 
Back
Top Bottom