nakushauri ufungue Geita, mimi Nipo chuo cha saut mwanza nasoma jounalism and masscomunication , hapa tuna kituo chetu cha radio ingawa mitambo yake ni chakavu lakini kina wasikilizaji wengi sana wala radio free isikutishe kama unabisha jaribu kuwa unafungulia Hii radio unapokuwa mwanza, fungua radio tupate ajira bana, kwa msaada zaidi ni. pm