kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 5,641
- 10,487
Nina ndoa ya kanisani,dini yangu hainiruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.
Ila kadri siku zinavyoenda najihis kuwa nahitaji kuoa mke wa pili ingawa huyu wa kwanza sitomuacha.
So nafikiria kufunga ndoa ya pili ya kanisani kimya kimya bila watu wangu wa karibu akiwemo na wife wangu wa sasa kujua.
Mnaonaje hili wazo langu wakuu?
NB:kabila langu linaniruhusu kuwa na wake hata 1000.
Ila kadri siku zinavyoenda najihis kuwa nahitaji kuoa mke wa pili ingawa huyu wa kwanza sitomuacha.
So nafikiria kufunga ndoa ya pili ya kanisani kimya kimya bila watu wangu wa karibu akiwemo na wife wangu wa sasa kujua.
Mnaonaje hili wazo langu wakuu?
NB:kabila langu linaniruhusu kuwa na wake hata 1000.