Thank you...Kwa nini unifiche?
Unamuogopa nini mkeo wa kwanza.
Kaa na wazee wako waeleze nia yako. Wakikubali nenda kaoe. Ukianza mambo ya kuficha ficha tu unatengeneza bomu kubwa. Wewe weka wazi process nzima. Ila ya pili usioe kanisani kuepusha mapingamizi nenda kaoe kimila ama bomani
Kwa hiyo watu wenye wake 2 ni maskini na wana matatizo,ishi kulingana na nafsi yako inahitaji nini.Unakaribisha matatizo kama sio umasikini
Nitajie matajiri 10 wa mwanzo wanaopatikana kwenye jarida la forbes, wenye wake wengi?Kwa hiyo watu wenye wake 2 ni maskini na wana matatizo,ishi kulingana na nafsi yako inahitaji nini.
Mimi nitamfadhili mke wako mkubwa aje kuharibu shughuli.Nina ndoa ya kanisani,dini yangu hainiruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.
Ila kadri siku zinavyoenda najihis kuwa nahitaji kuoa mke wa pili ingawa huyu wa kwanza sitomuacha.
So nafikiria kufunga ndoa ya pili ya kanisani kimya kimya bila watu wangu wa karibu akiwemo na wife wangu wa sasa kujua.
Mnaonaje hili wazo langu wakuu?
NB:kabila langu linaniruhusu kuwa na wake hata 1000.
Nina ndoa ya kanisani,dini yangu hainiruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.
Ila kadri siku zinavyoenda najihis kuwa nahitaji kuoa mke wa pili ingawa huyu wa kwanza sitomuacha.
So nafikiria kufunga ndoa ya pili ya kanisani kimya kimya bila watu wangu wa karibu akiwemo na wife wangu wa sasa kujua.
Mnaonaje hili wazo langu wakuu?
NB:kabila langu linaniruhusu kuwa na wake hata 1000.
Moto ukiwaka utazimwa.Kuwa makini Mkuu, ukae ukijua siku huyo mkeo akigundua ndio ujuetu kuwa moto utawaka humo ndani. Inahitji umakini sana kwenye hilo
Moto ukiwaka utazimwa.
Ni mwanamme asiejiamini pekee ndio atashindwa kuoa mke wa pili
Kipanya😇😇😇Nitajie matajiri 10 wa mwanzo wanaopatikana kwenye jarida la forbes, wenye wake wengi?