Mbwichichi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 347
- 1,837
Nina kipato cha shilingi milioni moja na nusu kwa mwezi (1,500,000/=) na ninafirikia kuanza ujenzi wa nyumba ya kuishi.
Naomba ushauri wa namna gani naweza kufanya ili ujenzi uende pamoja na maisha mengine.
Nina familia ya mke na mtoto mmoja anayesoma darasa la nne, ada ya shule ni 1.5m kwa mwaka.
Ninapoishi kodi ni 100,000/= kwa mwezi.
Naomba mawazo.
Naomba ushauri wa namna gani naweza kufanya ili ujenzi uende pamoja na maisha mengine.
Nina familia ya mke na mtoto mmoja anayesoma darasa la nne, ada ya shule ni 1.5m kwa mwaka.
Ninapoishi kodi ni 100,000/= kwa mwezi.
Naomba mawazo.