Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

jey n

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
227
Reaction score
215
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Ni vema ukapita Hospital muone nini shida na kama mnaweza kutibiwa na mkapata mtoto
 
Je mlifunga ndoa ama mnaishi ya sogea tukae?
Je ulimuoa kwa mahari na baraka za wazazi wa pande zote mbili ama mlibebana from kitaa?
Je anafahamika kwenu nawewe unafahamika nyumbani kwao?
Je nini lilikua lengo la kuamua kuishi pamoja?
 
Back
Top Bottom