usisome kufuata mkumbo, mtoto wa fulan kasoma ualimu kapata ajira , nenda na ww mwanang ukasome utapata ajira , sijui huwa mnahisi hapa kati mpo chuo hakuna watu wanamaliza kweny hzo kozi ?
mimi nliamua kwenda chuo X nkapiga dip kisha nkapata chimbo kwa 750k na accomodation ya kula kulala na nauli
baadae nkaenda jiongeza baada ya kupata kozi yenye soko , nkapiga degree
ila watz weng mnafanya kosa kusoma kwa kufuata level na sio kufuata malengo
nkupe sample ya kozi bado zina soko kwa mtoto wa mkulima
1.Physiotherapy
2.Occation therapy
3.TATCOT
4.Optometry
hizi ni koz za dip bado zina soko na kwa mwaka wanatoka wanafunzi wachache , japo baada ya miaka 5 nazo zitakuwa na watu wengi mtaani maana vyuo vya hii koz vimeanza ving tangu mwaka 2023