kbsTatizo sio marekani na dubai shida ni elimi yetu aimwqndai mtu kujiajili
Mimi ningekuwa wazili wa elimu au raisi imekuwa chuo ni miaka 4 miaka 1 dalasani miaka 2 mafunzo kwa vitendo kwaka wa mwisho ni project
kbsTatizo sio marekani na dubai shida ni elimi yetu aimwqndai mtu kujiajili
Mimi ningekuwa wazili wa elimu au raisi imekuwa chuo ni miaka 4 miaka 1 dalasani miaka 2 mafunzo kwa vitendo kwaka wa mwisho ni project
🤣🤣😁😁, R na L ni changamoto kwa Sasa ndani ya jamii
Ni mawazo mazuri sana, utekelezaji wake sio kazi nyepesi kwakuwa hata professor Mkenda aliliwaza hili piaTatizo sio marekani na dubai shida ni Elimu yetu haimwandai mtu kujiajili
Mimi ningekuwa waziri wa Elimu au Raisi imekuwa chuo ni miaka 4 miaka 1 dalasani miaka 2 mafunzo kwa vitendo kwaka wa mwisho ni project
Sasaivi upepo uliopo ni kwamba watu waliosoma VETA ndio wametusua. 😃 Wakati mi nawajua wengi tu choka mbaya hawana mbele wala nyuma. Ila acha twende na upepo tusiue vaibuivi waliosoma veta wana maisha mazuri sana huko mtaani kwenu
Kujiajili❌ Kujiajiri✅Tatizo sio marekani na dubai shida ni Elimu yetu haimwandai mtu kujiajili
Mimi ningekuwa waziri wa Elimu au Raisi imekuwa chuo ni miaka 4 miaka 1 dalasani miaka 2 mafunzo kwa vitendo kwaka wa mwisho ni project
kabisa mkuu wa veta wamechoka balaa nashangaa hizi hadaa za viongozi kutudanganya kwenda hukoSasaivi upepo uliopo ni kwamba watu waliosoma VETA ndio wametusua. 😃 Wakati mi nawajua wengi tu choka mbaya hawana mbele wala nyuma. Ila acha twende na upepo tusiue vaibu
MuelekezeTaaruma ❌
Taaluma ✔️
Tolea mfano huyo mtu wa Harvard. Msichanganye mambo hapaUnaweza ukasoma hata Harvard Ila bado usifike pale unapopahitaji.
Moja ya ujinga ambao huwa naukataa ni kufanya mambo kwa kufata trending.
Mfano Kassim Majaliwa amesema Vijana waende VETA ni kitu kozuri Ila kabla haujaenda VETA lazima ujiulize hicho cheti cha VETA na ujuzi wa VETA ndo mambo unayoyahitaji kufanikiwa?
Kwani viongizi wako ni mitoro wote waliishia la 7?Acha upumbafu wewe, unajua msingi wa mkuu wa Elimu? Lakini
Decision making ya msomi si Sawa na asiyesoma
Hoja yako ni ipi hapo?Kwani viongizi wako ni mitoro wote waliishia la 7?
Hakuna ni sera zetu mbovu za nchi huwezi kukuta kesi kama hizi kwenye nchi za ulimwengu wa kwanza na wa pili huko..Dunia ya sasa inataka zaidi ujuzi kuliko taaluma nahisi.
Hiyo Sitiation inaumiza sanaaa sanaaa! Ni vile tuu maumivu ya moyoni hayaonekani kwa macho! Kweli unakuta mtu alisota mpaka akamaliza chuo kikuu halafu leo hii haajiriwi, mbaya zaidi maarifa ya chuoni yanampa asilimia chache sanaa za yeye kujiajiri kwa fani yake! Hapo mtu anaweza aka- data!! Mungu aturehemuNna miaka 30 kuna mtu pia ana miaka 33.
WOte wamemaliza degree 2017/19 hawa watu wanapiga mishe za hapa na pale mitaani (vibarua) wakisubiri ajira za ualimu waajiriwe.
Kuna jamaangu mmoja leo kaamka kapita kunisalimia agongee chai
akaanza hoja, Dah maisha sijui nliyakosea wapi. Yani mishe haziendi kabisa hadi kupata elf2 ndani ya saa24 ni mtiti.
Namsikiliza tu. Kaongea mengi kweli ila kwa ujumla akasema amepoteza jumla ya miaka 2 ya form 5&6
Miaka 3 degree
Miaka 8 kupiga vibarua vya laki 1 na laki 2 za kufundisha na kujitolea mashule 12 aliyofanya kazi
Jamaa ana familia leo kaja kunywa chai geton kwangu sijui home kwake mke na watoto wamekula nn asbh. Mwingine mlokole namjua ila mpk leo ana siku ya 16 anafunga kubana bajet ale usiku tu alale
Nafikiri shule sikuhizi haina umuhimu. Mladi tujue kusoma na kuandika kisha twende veta kusomea ufundi turudi mtaani kujiajili ila haya ya form 1-4, 5&6, degree labda hizi zinafaa marekani na dubai sisi tanzania technical skills ndio zinatufaa
Population ni main variable ya kutatua changamoto hii, ingaw mfumo halisi wa elimu ni pyramidal. So hawa wanaodondoshwa na mfumo wafanye kazi nje ya specialisation yao watakuwepo tu.Population nayo inachangia