bensonwillbert
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 113
- 33
akuna jeshi kubwa duniani litakalo wazidi raia
Wangemhasi huyo jamaa kwa kutumia burdizzoHii ni message kubwa sana kwa Lipumba mwenyewe, wafuasi wake na serikali ikiwakilishwa na msajili wa vyama, kuwa, pamoja na yote yanayofanywa na serikali kwa mgongo wa msajili na vyombo vya dola kumsaidia Lipumba kuihujumu CUF, lakini leo UMMA wa watanzania umekataa umewaambia wazi kuwa jamii inaona na inajua nani mkorofi ndani ya CUF.
Kwa Umoja wao wananchi wamekataa uonevu, bila kujali vyama vyao wamesimama upande wa HAKI wa viongozi halali wa CUF, wameulinda uongozi halali kwa hali na mali kwa kuwapa kisago kitakatifu vibaraka wa prof. Lipumba mwenyekiti aliyejiuzulu na baadaye kufukuzwa uanachama. Sijui kama watarudia tena.
View attachment 499658
Hongera sana wananchi wa Mabibo Kinondoni kwa kweli leo mmenifurahisha sana na mmekonga nyoyo za wapenda amani wengi, bila ninyi huenda madhara makubwa yangetokea.
Wangem castrate kwa burdizoNimefurahi sana kibaraka wa lipumba alivyokula kipigo cha mwana ukome sijui kama atakubali tena kutumiwa na Lipumba a.k.aBwana yule
Kisa kizima ni kwamba jamaa kaingia choo cha kina FaizaFoxyWeka kisa kizima maana wengi tuna hamu ya kujua mkong'oto ulivyotembea kwa hao mamluki vibaraka.
Hapa Chadema wanaingiaje? Hebu tufafanulie bro.Chadema acheni kuiharibu CUF narudia kusema
Hayo ya JPM hayatafanikiwa bila ya kuwepo amani ya kweli, mshikamano na haki kwa wote. Katu hayatafanikiwa bila Uhuru wa vyombo vya habari. Na hayatafanikiwa kwa kudhamiria kuua upinzani.Duuuuuh. Kudundana twapeana hongera badala ya pole. Siasa uchwara mbaya sana. Nafuu JPM kaamua kufanya yake na wanasiasa waendelee na ya kwao. Maana akianza kuwafuatilia wafanyayo wanaweza kumuondoa kwenye barabara na kukuta anaingiza porini Lori.
Nyie huku twanganeni na hakuna wa kuamulia hadi wenyewe mpate akili. Dadadeki.
Sina kumbukumbu ni nchi gani iliyoendelea kwa watu kukesha mitaani kupingana na mamlaka za utawala. Wenzetu walianza kujadili democracy baada ya kupiga hatua na watu kujifunza na kuona umuhimu wa kufanya kazi kwa kujituma na kuwajibika ipasavyo. Kumekuwepo na malalamiko ya muda mrefu kwamba wa Tanzania waliowengi wavivu na ndio maana nchi yenye kila aina ya rasilimali lakini bado watu wake ni maskini wa kutupwa. Vijana waoga kuingia kwenye ushindani. Sababu kuu ni misingi mibovu tuliyoiweka tangu mwanzo. Lazima ufanyike ukarabati mkubwa kwenye msingi ndio tutasonga. Na msingi hauwezi kuwa na rundo LA wataalam wanaokesha kwenye vikao badala ya kufanya kazi. Sasa ni muda mchungu kwa kila mtu hadi msingi ukae sawa then tutaanza kukata mbeleni namna na kujenga kuta na kupaka Rangi. Lakini kwa sasa tunataka kamanda mmoja tu atunyooshe mpaka akili zikae sawa. JPM piga kazi na tutaonana mbele ya safari wakati DSM hakuna foleni, reli imejengwa, barabara zinapitika kila mahali, wezi wamepungua, madini yatakapoanza kunufaisha uchumi wa nchi, umeme utakapokuwa kila kona na elimu itakapokuwa ni elimu ya kumfanya mtahiniwa asiwe tegemezi.Hayo ya JPM hayatafanikiwa bila ya kuwepo amani ya kweli, mshikamano na haki kwa wote. Katu hayatafanikiwa bila Uhuru wa vyombo vya habari. Na hayatafanikiwa kwa kudhamiria kuua upinzani.
SafiSina kumbukumbu ni nchi gani iliyoendelea kwa watu kukesha mitaani kupingana na mamlaka za utawala. Wenzetu walianza kujadili democracy baada ya kupiga hatua na watu kujifunza na kuona umuhimu wa kufanya kazi kwa kujituma na kuwajibika ipasavyo. Kumekuwepo na malalamiko ya muda mrefu kwamba wa Tanzania waliowengi wavivu na ndio maana nchi yenye kila aina ya rasilimali lakini bado watu wake ni maskini wa kutupwa. Vijana waoga kuingia kwenye ushindani. Sababu kuu ni misingi mibovu tuliyoiweka tangu mwanzo. Lazima ufanyike ukarabati mkubwa kwenye msingi ndio tutasonga. Na msingi hauwezi kuwa na rundo LA wataalam wanaokesha kwenye vikao badala ya kufanya kazi. Sasa ni muda mchungu kwa kila mtu hadi msingi ukae sawa then tutaanza kukata mbeleni namna na kujenga kuta na kupaka Rangi. Lakini kwa sasa tunataka kamanda mmoja tu atunyooshe mpaka akili zikae sawa. JPM piga kazi na tutaonana mbele ya safari wakati DSM hakuna foleni, reli imejengwa, barabara zinapitika kila mahali, wezi wamepungua, madini yatakapoanza kunufaisha uchumi wa nchi, umeme utakapokuwa kila kona na elimu itakapokuwa ni elimu ya kumfanya mtahiniwa asiwe tegemezi.
Mazingira ya amani tuliyonayo yanatosha kufanya uwekezaji tulivu. Porojo za waathirika wa mabadiliko zisikukwaze. Kanyaga twende kamanda.
nami nawapa hongera tena sana......hao wameenda kuteka na kuuwa watu wasio na hatia, baadala yake alikuwa anataka kuua akatiwa nguvuni na umma. safiDuuuuuh. Kudundana twapeana hongera badala ya pole. Siasa uchwara mbaya sana. Nafuu JPM kaamua kufanya yake na wanasiasa waendelee na ya kwao. Maana akianza kuwafuatilia wafanyayo wanaweza kumuondoa kwenye barabara na kukuta anaingiza porini Lori.
Nyie huku twanganeni na hakuna wa kuamulia hadi wenyewe mpate akili. Dadadeki.
Message gani hiyo? Mbona la Mabibo hutokea kila mahalu? Wewe uliona kibaka anachomoa hereni za wanawake au mwizi anashikwa sokoni au jambazi kwenye halaiki, si hupigwa na wananchi wenye hasira? Hapa hatujui aliyepigwa kama ni blue guard waliofukuzea Pemba au ni vibaka wa kawaida. Message hiyo si mpya tunayo tangu zamani.Hii ni message kubwa sana kwa Lipumba mwenyewe, wafuasi wake na serikali ikiwakilishwa na msajili wa vyama, kuwa, pamoja na yote yanayofanywa na serikali kwa mgongo wa msajili na vyombo vya dola kumsaidia Lipumba kuihujumu CUF, lakini leo UMMA wa watanzania umekataa umewaambia wazi kuwa jamii inaona na inajua nani mkorofi ndani ya CUF.
Kwa Umoja wao wananchi wamekataa uonevu, bila kujali vyama vyao wamesimama upande wa HAKI wa viongozi halali wa CUF, wameulinda uongozi halali kwa hali na mali kwa kuwapa kisago kitakatifu vibaraka wa prof. Lipumba mwenyekiti aliyejiuzulu na baadaye kufukuzwa uanachama. Sijui kama watarudia tena.
View attachment 499658
Hongera sana wananchi wa Mabibo Kinondoni kwa kweli leo mmenifurahisha sana na mmekonga nyoyo za wapenda amani wengi, bila ninyi huenda madhara makubwa yangetokea.
Kwahiyo Chadema usajiri wao kwa msajiri ni chama cha kupinga Ufisadi? Aisee hebu fafanua mkuuChadema mmepoteza image yenu ya chama cha wapinga ufisadi, chama cha wapenda haki na pia mmejisahau sana mpaka kufikia kukumbatia maovu na madudu ya ccm ya enzi zile.
Yule jambazi wangemuua tuDawa ya jambazi sio kupewa pole ni kupigwa ikiwezekana kuuawa kabisa.
Pale unapotanguliza hisia mbele ya akili ndo utapata uzi kama huu.Hii ni message kubwa sana kwa Lipumba mwenyewe, wafuasi wake na serikali ikiwakilishwa na msajili wa vyama, kuwa, pamoja na yote yanayofanywa na serikali kwa mgongo wa msajili na vyombo vya dola kumsaidia Lipumba kuihujumu CUF, lakini leo UMMA wa watanzania umekataa umewaambia wazi kuwa jamii inaona na inajua nani mkorofi ndani ya CUF.
Kwa Umoja wao wananchi wamekataa uonevu, bila kujali vyama vyao wamesimama upande wa HAKI wa viongozi halali wa CUF, wameulinda uongozi halali kwa hali na mali kwa kuwapa kisago kitakatifu vibaraka wa prof. Lipumba mwenyekiti aliyejiuzulu na baadaye kufukuzwa uanachama. Sijui kama watarudia tena.
View attachment 499658
Hongera sana wananchi wa Mabibo Kinondoni kwa kweli leo mmenifurahisha sana na mmekonga nyoyo za wapenda amani wengi, bila ninyi huenda madhara makubwa yangetokea.
Mbona lori linakata miti na kung'oa nyasi porini au we hulioni hili????Duuuuuh. Kudundana twapeana hongera badala ya pole. Siasa uchwara mbaya sana. Nafuu JPM kaamua kufanya yake na wanasiasa waendelee na ya kwao. Maana akianza kuwafuatilia wafanyayo wanaweza kumuondoa kwenye barabara na kukuta anaingiza porini Lori.
Nyie huku twanganeni na hakuna wa kuamulia hadi wenyewe mpate akili. Dadadeki.