BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,913
Zanzibar kibaraka Wa Ccm hakanyagiMazombi ni Zanzibar,sio Tanganyika! Wamepata walichostahili.
Zanzibar kibaraka Wa Ccm hakanyagiMazombi ni Zanzibar,sio Tanganyika! Wamepata walichostahili.
Walio vaa ki ninja marungu etc bastola na kuvamia press ya cuf mabiboVirugu gani?
Nitajie ni wakina nani inaelekea unawajuaWalio vaa ki ninja marungu etc bastola na kuvamia press ya cuf mabibo
Nenda zako Jpm anakupamlia niniDuuuuuh. Kudundana twapeana hongera badala ya pole. Siasa uchwara mbaya sana. Nafuu JPM kaamua kufanya yake na wanasiasa waendelee na ya kwao. Maana akianza kuwafuatilia wafanyayo wanaweza kumuondoa kwenye barabara na kukuta anaingiza porini Lori.
Nyie huku twanganeni na hakuna wa kuamulia hadi wenyewe mpate akili. Dadadeki.
Kichaa mwenyewe unayeshabikia majambazi, unifuate na bastola halafu nikuache nakumaliza tu mwenzako anabahati kanyofolewa kisigino tu mwambie arudie tena.Wewe Ni mwehu!!!
Utashabikiaje fujo kichaa wewe!!
Ccm B wenye uchu wa madaraka kama weweNitajie ni wakina nani inaelekea unawajua
Ha ha ha ha haDuuuuuh. Kudundana twapeana hongera badala ya pole. Siasa uchwara mbaya sana. Nafuu JPM kaamua kufanya yake na wanasiasa waendelee na ya kwao. Maana akianza kuwafuatilia wafanyayo wanaweza kumuondoa kwenye barabara na kukuta anaingiza porini Lori.
Nyie huku twanganeni na hakuna wa kuamulia hadi wenyewe mpate akili. Dadadeki.
Tumeshawashtukia CHADEMA ndio watekaji na wagawa wa TZ so subili 2020 utaonaCcm B wenye uchu wa madaraka kama wewe
Hii ni message kubwa sana kwa Lipumba mwenyewe, wafuasi wake na serikali ikiwakilishwa na msajili wa vyama, kuwa, pamoja na yote yanayofanywa na serikali kwa mgongo wa msajili na vyombo vya dola kumsaidia Lipumba kuihujumu CUF, lakini leo UMMA wa watanzania umekataa umewaambia wazi kuwa jamii inaona na inajua nani mkorofi ndani ya CUF.
Kwa Umoja wao wananchi wamekataa uonevu, bila kujali vyama vyao wamesimama upande wa HAKI wa viongozi halali wa CUF, wameulinda uongozi halali kwa hali na mali kwa kuwapa kisago kitakatifu vibaraka wa prof. Lipumba mwenyekiti aliyejiuzulu na baadaye kufukuzwa uanachama. Sijui kama watarudia tena.
View attachment 499658
Hongera sana wananchi wa Mabibo Kinondoni kwa kweli leo mmenifurahisha sana na mmekonga nyoyo za wapenda amani wengi, bila ninyi huenda madhara makubwa yangetokea.
Hata unachokitetea hukielewi. Wacha wapate "hamsa wa ishrini"... Triii taap.. Tiii taap taaaap!Virugu gani?
Hapana angekufa asingesikia uchungu acha akamsimulie mke wake.Uyo mshenzi angetakiwa kuchomwa moto au kukatwa shingo.
JPM angefanya yake asingemlinda Lipumba !!Duuuuuh. Kudundana twapeana hongera badala ya pole. Siasa uchwara mbaya sana. Nafuu JPM kaamua kufanya yake na wanasiasa waendelee na ya kwao. Maana akianza kuwafuatilia wafanyayo wanaweza kumuondoa kwenye barabara na kukuta anaingiza porini Lori.
Nyie huku twanganeni na hakuna wa kuamulia hadi wenyewe mpate akili. Dadadeki.
Umelipwa kiasi gani !!Chadema acheni kuiharibu CUF narudia kusema