Nafikiri MESSAGE ameipata, Lipumba alidhani umma uko upande wake.

Nafikiri MESSAGE ameipata, Lipumba alidhani umma uko upande wake.

Message gani hiyo? Mbona la Mabibo hutokea kila mahalu? Wewe uliona kibaka anachomoa hereni za wanawake au mwizi anashikwa sokoni au jambazi kwenye halaiki, si hupigwa na wananchi wenye hasira? Hapa hatujui aliyepigwa kama ni blue guard waliofukuzea Pemba au ni vibaka wa kawaida. Message hiyo si mpya tunayo tangu zamani.
Kama mnayo tangu zamani haya endeleeni ya jana ni demo yake.
 
Mbona lori linakata miti na kung'oa nyasi porini au we hulioni hili????
Ni multitasking. Linaweza geuka bulldozer au deleya LA kivita. Maana linapita kwenye barabara, mapori, milima, mabonde na kuvuka mito yenye madaraja na isiyo na madaraja. Kwa hiyo usihofu, barabara ni ndefu na iko kwenye nchi ya dunia ya tatu. Hivyo, jishikilie vizuri usije anguka maana DEREVA hana wasiwasi kwamba atatufika salama. Bravo JPM
 
Message gani hiyo? Mbona la Mabibo hutokea kila mahalu? Wewe uliona kibaka anachomoa hereni za wanawake au mwizi anashikwa sokoni au jambazi kwenye halaiki, si hupigwa na wananchi wenye hasira? Hapa hatujui aliyepigwa kama ni blue guard waliofukuzea Pemba au ni vibaka wa kawaida. Message hiyo si mpya tunayo tangu zamani.

Nadhani hii somo lazima liwaongezee kipato watakaokubali kutumwa maana itabidi waanze kuandika wosia kabisa.
Siku nyingine wataweza kukuta Roho imetengana na mwili.Ogopa sana wananchi wakishajua kwamba unatumika.
 
9b75d2ec333e858552a80ca4a64a3223.jpg
anasemekana ni mlinzi wa lipumba
 
Impartial comments never attracts partisans minds. You always want to hear what favours your feelings and I don't think that's the duty JF platform.
But also remember that JF platform is a free forum...!!!
 
Nasikitika kumuona akiwa hai. I wish he could be killed
 
Chadema mnaiharibu CUF sio mambo hayo na hii dhambi inawahusu sijui kama mtasalimika 2020
inaonekana unao siku nyingi hujabanjuliwa wewe, endelea tu kutaja chadema
 
Back
Top Bottom