Nafikiri MESSAGE ameipata, Lipumba alidhani umma uko upande wake.

Nafikiri MESSAGE ameipata, Lipumba alidhani umma uko upande wake.

Duuuuuh. Kudundana twapeana hongera badala ya pole. Siasa uchwara mbaya sana. Nafuu JPM kaamua kufanya yake na wanasiasa waendelee na ya kwao. Maana akianza kuwafuatilia wafanyayo wanaweza kumuondoa kwenye barabara na kukuta anaingiza porini Lori.
Nyie huku twanganeni na hakuna wa kuamulia hadi wenyewe mpate akili. Dadadeki.
What did you expect?
 
Wewe Ni mwehu!!!
Utashabikiaje fujo kichaa wewe!!
Wewe Ndo nakuona Mwendawazimu kabisa.

Taahira Mkubwa wewe!!!

Unaangalia tatizo bila kuangalia chanzo cha tatizo??

Maandazi mkubwa !
 
Huyu Jamaa atataja wenzake wote alovaa nao mask jinga kabisa.
Et wameenda kuwafanyia vurugu watu wana kikao.
Yani hawa ipo siku wataangamia wote
 
Siku hizi ni mwendo wa uvamizi tuu! Nchi hii sijui inaelekea wapi?!
 
mimi nilikuwa najua lipumba mzee wa pumba ameshafariki tangu uhuru kumbe bado yupo hai
 
Watu wa dar bana!!! Yaan wameisha mchakaza mtu then wanamuweka mtu kati nakuanza kumshangaa au ndio wanaanza kumsema sasa
 
subirini siku tukiamka, nyie fanyeni mnavyofanya lakini siku tukiamka hapa nadhani kama sio mizinga kama ya korea hakitaeleweka, mnatuna majuha sana
 
Chadema mnaiharibu CUF sio mambo hayo na hii dhambi inawahusu sijui kama mtasalimika 2020
sidhani kama ni chadema, tunataka hiyo waliyemdaka aminywe pum.bu mpaka aseme katumwa na nani na waziri au polisi watupe majibu, lakini kama ni mtu wao kamwe hatutasikia lolote
 
Chadema mmepoteza image yenu ya chama cha wapinga ufisadi, chama cha wapenda haki na pia mmejisahau sana mpaka kufikia kukumbatia maovu na madudu ya ccm ya enzi zile.
una uhakika au unabwabwaja tu kama mwakiyembe
 
Mwanaume wa Dar kawekwa kati na panya-rodi(road)
 
TAARIFA ZA HIVI PUNDE:
Najulishwa kwamba, mtu aliyetoa BASTOLA wakati wa uvamizi wa mkutano wa CUF kwenye hotel ya Vina, Mabibo - Dar leo hii ni Ofisa wa Usalama wa Taifa. Watu waliolifuatilia gari mojawapo kati ya yale yaliyowabeba MUNGIKI wa Lipumba (na kuwaondoa Vina Hotel baada ya kupiga, kuumiza na kupora waandishi na viongozi wa CUF), wamenipa ushahidi unaoonesha kuwa mtu huyo ni Askari wa vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama. Natoa wito kwa waandishi wote wa habari waliokuwepo kwenye eneo la tukio watukabidhi picha zote za video na mnato ili tumsake mhusika na kuiweka picha yake hadharani. UOVU hauwezi kudumu na kamwe hatuwezi kuukalia kimya. Leo nimekaa na kujiuliza, hivi kwa mfano njama za kuisambaratisha CUF zinazoongozwa na dola zikishafanikiwa, Tanzania itakuwa na viwanda? Ajira zitapatikana? Kina mama wataacha kujitwisha ndoo za maji vijijini? Kilo ya Unga itashuka bei? Kwamba kuna uhusiano gani kati ya dola kutumia nguvu kubwa sana kukisambaratisha chama kimoja badala ya kutumia nguvu hizo kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja? Too shameful!
[HASHTAG]#JSM[/HASHTAG].
 
Hii ni message kubwa sana kwa Lipumba mwenyewe, wafuasi wake na serikali ikiwakilishwa na msajili wa vyama, kuwa, pamoja na yote yanayofanywa na serikali kwa mgongo wa msajili na vyombo vya dola kumsaidia Lipumba kuihujumu CUF, lakini leo UMMA wa watanzania umekataa umewaambia wazi kuwa jamii inaona na inajua nani mkorofi ndani ya CUF.

Kwa Umoja wao wananchi wamekataa uonevu, bila kujali vyama vyao wamesimama upande wa HAKI wa viongozi halali wa CUF, wameulinda uongozi halali kwa hali na mali kwa kuwapa kisago kitakatifu vibaraka wa prof. Lipumba mwenyekiti aliyejiuzulu na baadaye kufukuzwa uanachama. Sijui kama watarudia tena.
View attachment 499658

Hongera sana wananchi wa Mabibo Kinondoni kwa kweli leo mmenifurahisha sana na mmekonga nyoyo za wapenda amani wengi, bila ninyi huenda madhara makubwa yangetokea.
Wamekupa ushahidi gani?
 
Back
Top Bottom