konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,668
- 8,641
Haiingii akilini kama Serikali na mamlaka zinazosimamia hii mitandao ya simu hazijui hizi gharama za kinyonyaji za hii mitandao.
Walianza Tigo kupandisha gharama zaidi ya 100%. Sasa hivi Voda nao wamepandisha.
Serikali imebariki huu wizi ili ipate kodi kubwa kwa ajili ya hii miradi yake.
Walianza Tigo kupandisha gharama zaidi ya 100%. Sasa hivi Voda nao wamepandisha.
Serikali imebariki huu wizi ili ipate kodi kubwa kwa ajili ya hii miradi yake.