Nafikiri kupanda kwa gharama za mawasiliano kwa Mitandao ya Simu kuna baraka zote za Serikali

Mimi nasubiri bunge tukufu likemee upandishwaji wa hivi vifurushi, Tanzania ya leo Internet imekuwa anasa badala ya kurahisisha maisha.
 
Si kweli watu ni kuamka na kuhamasishana kuigomea huduma kandamizi watarekebisha tu lakini sio kupinga tu kila jambo bila ya sababu hata kama ni la maana!
Raisi si yupo awasemee wanyonge! Wewe unataka tugome migomo ilishawahi ruhusiwa hapo lumumba????
 
Unazungumzia serekali ipi??! Tokea lini serekali ambayo haina kibali cha wananchi ikashughulika na matatizo ya wananchi?Yaani serekali iingie madarakani kwa wizi wa kura kisha ishughulikie matatizo ya wananchi?Una kichaa?

Yaani serekali iliyoshindwa kuzuia bei ya mafuta ya kula ambayo ni bidhaa pendwa ya wanyonge kupanda kiholela ndiyo ikashughulikie mambo makubwa ya mitandao ya simu?Stay tuned the worst is yet to come!
Unakuwaga na maakili sana wewe
 
More income for these companies more tax collections for this illegal government.
Haiingii akilini kama Serikali na mamlaka zinazosimamia hii mitandao ya simu hazijui hizi gharama za kinyonyaji za hii mindao.

Walianza Tigo kupandisha gharama zaidi ya 100%. Sasa hivi Voda nao wamepandisha. Serikali imebariki huu wizi ili ipate kodi kubwa kwa ajili ya hii miradi yake.
 
Yap! The worst is yet to come. I too believe in this statement.
Unazungumzia serekali ipi??! Tokea lini serekali ambayo haina kibali cha wananchi ikashughulika na matatizo ya wananchi?Yaani serekali iingie madarakani kwa wizi wa kura kisha ishughulikie matatizo ya wananchi?Una kichaa?

Yaani serekali iliyoshindwa kuzuia bei ya mafuta ya kula ambayo ni bidhaa pendwa ya wanyonge kupanda kiholela ndiyo ikashughulikie mambo makubwa ya mitandao ya simu?Stay tuned the worst is yet to come!
 
Kutoa mpesa chini 10k Ilikuwa ni sh 800 ila ghafula Leo natoa ila inanikatalia wananilazimisha songesha..
Wamepandisha makato kimya kimya ujue
 
Haiingii akilini kama Serikali na mamlaka zinazosimamia hii mitandao ya simu hazijui hizi gharama za kinyonyaji za hii mindao.

Walianza Tigo kupandisha gharama zaidi ya 100%. Sasa hivi Voda nao wamepandisha. Serikali imebariki huu wizi ili ipate kodi kubwa kwa ajili ya hii miradi yake.
Mpandishaji ni serikali mwenyewe,yeye anachofanya ni kuongeza kodi tu,ambayo inahamishiwa kwa wanyonge,
Na safari hii hakuna watetezi sehemu yoyote ile ni mwendo wa kugonga meza tu
 
Wananch ni kupunguza tu matumizi ya bundle. Zile tabia siju naweka bundle napigia ngosha kule kijijini bila sababu za msingi zinaisha. Yani tunaanza kuishi kizungu zaidi.

Kuhusu bundle za kudownload uzuri siku hizi muvie zinauzwa kila sehem.
 
Serikali ni muhusika wa kupanda kwa gharama za mawasiliano. Kuna kodi za serikali halali na haramu.
 
Nilivyo ona tu hii text nikajua kihama kinakuja
Screenshot_20210203-211216_Messages.jpg
 
Mpandishaji ni serikali mwenyewe,yeye anachofanya ni kuongeza kodi tu,ambayo inahamishiwa kwa wanyonge,
Na safari hii hakuna watetezi sehemu yoyote ile ni mwendo wa kugonga meza tu
Kusema ukweli hii nchi ni ya kibwege sana. Kila mtu kimyaaa. Hakuna hata mmoja wa kuongea. Kila mtu hofu imemshika.
 
Back
Top Bottom