mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,628
- 8,420
mimi sikatai muhammad ni mtume ilaha nakataa kata kwamba yeye ni Mtume wa Mungu...hasa nikirejea profile yake! labda uniaminishe wewe mtu aliye ruhusu zina, uuaji, liwati, kubaka mwanamke wa mwanae, kumuingilia safiyah baada ya kumuua baba na mme wake bila kumlipia mahari wala eida yake kutimia...kuwa katumwa na Mungu aliye Takasika...niaminishe mkuu nami niaminiMtume Mohammad awali ya yote yeye alikuwa binadam na aliteuliwa na kuandaliwa kuwa mtume angaliakiwa mdogo kwa kupitia mjumbe(malaika) jibril