fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 806
- 2,182
Hao CDM unaowasema walikuwa wanataka kushiriki uchaguzi mbarariTanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maenesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. CDM ndio hawana muda wa kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi, wapinzani wengine watashiriki, hivyo msijali kuhusu posho.
Hii taarifa nina mashaka nayo NEC ninayoijua Mimi haifanyi kazi zake kienyeji hivi huyu mtu kakaa tu kujitungia huu upuuzi wake NEC wapo straight sana kwenye utaratibu kwenye mambo yaoNi Jambo jema
Source ni gazeti gani, au ni Machinga?Hao CDM unaowasema walikuwa wanataka kushiriki uchaguzi mbarari
Unawezaje kumjua mshindi kabla hujafanya uchaguzi?Matumizi mabaya ya fedha za umma huku NEC wanamjua mshindi ni nani mpaka sasa.
nyie cdm ndio hamna muda... Hii haina maana kwamba na wengine hawataki uchaguziTanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maenesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. CDM ndio hawana muda wa kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi, wapinzani wengine watashiriki, hivyo msijali kuhusu posho.
Ni kweli, maana hao wengine aidha wanafaidika na hizi chaguzi za kishenzi, ama wana muda wa kupoteza kwenye hizo chaguzi za kihayawani.nyie cdm ndio hamna muda... Hii haina maana kwamba na wengine hawataki uchaguzi
Acha kujizima data unajifanya kama mgeni hapa TanzaniaUnawezaje kumjua mshindi kabla hujafanya uchaguzi?