Nafasi za Kazi za kutunza Bustani

Nafasi za Kazi za kutunza Bustani

Johad

New Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
3
Reaction score
4
Nafasi za kazi: Watunza Bustani (02)
Eneo la kazi: Dar es Salaam, Tanzania

Majukumu:
  • Kutayarisha na kutunza upandaji wa maua, mapambo, na nyasi.
  • Kuripoti matengenezo yanayohitajika kwenye bustani.
  • Kuweka eneo la bustani katika hali ya usafi na nadhifu.
  • Kuhakikisha matumizi sahihi na uhifadhi wa vifaa na zana za kazi.
  • Kufanya kazi nyingine zinazohusiana na hizi.

Mahitaji:
  • Uzoefu wa kutunza bustani angalau mwaka mmoja.
  • Maarifa na ujuzi wa kilimo cha bustani.
  • Maarifa ya matumizi mashine za kutunza bustani.

Tuma maombi yako kupitia WhatsApp no: +255785171820
Mwisho wa kupokea maombi: 12 May 2025

Tarehe ya Mwisho:
27 Oct 2024.
 
Nafasi za kazi: Watunza Bustani (02)
Eneo la kazi: Dar es Salaam, Tanzania

Majukumu:
  • Kutayarisha na kutunza upandaji wa maua, mapambo, na nyasi.
  • Kuripoti matengenezo yanayohitajika kwenye bustani.
  • Kuweka eneo la bustani katika hali ya usafi na nadhifu.
  • Kuhakikisha matumizi sahihi na uhifadhi wa vifaa na zana za kazi.
  • Kufanya kazi nyingine zinazohusiana na hizi.

Mahitaji:
  • Uzoefu wa kutunza bustani angalau mwaka mmoja.
  • Maarifa na ujuzi wa kilimo cha bustani.
  • Maarifa ya matumizi mashine za kutunza bustani.

Tuma maombi yako kupitia WhatsApp no: +255785171820
Mwisho wa kupokea maombi: 12 May 2025

Tarehe ya Mwisho:
27 Oct 2024.
Mimi naitaka na nina ujuzi wa 10 years, cheti cha veta, Msc land scaping and management (usa) ila mshahara usipungue 3.5m net.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom