srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,270
- 4,182
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyojielezea hapo juu,
Ninahitaji vijana kwa ajili ya kufanya mauzo ya Ku Push products za Yas Business kama Vile Yas Routers, SME and Individual Bundles, Home Fiber, Mjasirianali Box, SME KINARA na zingine nyingi.. Zote hizi ni bidhaa za Yas Business
Ajira hii ni Fursa kwa vijana wachakarikaji ambao wapo tayari kujiendeleza na kukua zaidi kwenye Sales, kwani huku utakutana na watu mbalimbali na mafunzo mbalimbali vitakavyokupelekea wewe kukua zaidi Career wise. Wapo watu wengi wameanzia huku na wapo watu wengi wapo mpaka sasa hvi na wanajipatia kipato kikubwa sana ambacho huwezi kidhania wala kutegemea
Malipo ya kazi hii ni kama ifuatavyo, Transport Allowance (Pesa ya usafiri), Commision na Muda wa Maongezi.
ZINGATIA:
Kazi Hii sio zile za wale Ma Freelancer wanaotembea Barabarani kuuza Laini za Simu. HAPANA,
KAZI HII INAFANYIKA IN A PROFESSIONAL WAY, Unakuwa kama sales Professional kwanzia kwenye kuwatafuta wateja mpaka kuwapata, So ita involve Cold Calls, Appointment Arrangements, Na Namna nyingine kwani wateja wanaotakiwa hapa ni wateja wenye uwezo kama Makampuni au watu wenye uwezo wa kulipia huduma za Postpaid.
Kwa ambao wapo tayari au ambao wana uzoefu zaidi wanaweza kunicheki kupitia namba 0717016789 (Call/Whatsapp) au kupitia Email - norkim1991@gmail.com
Mkinicheki kupitia whatsapp inakuwa bora zaidi
Asanteni sana na karibuni sana wapambanaji tukatengeneze pesa na kujenga Uchumi wetu.
Kama kichwa kinavyojielezea hapo juu,
Ninahitaji vijana kwa ajili ya kufanya mauzo ya Ku Push products za Yas Business kama Vile Yas Routers, SME and Individual Bundles, Home Fiber, Mjasirianali Box, SME KINARA na zingine nyingi.. Zote hizi ni bidhaa za Yas Business
Ajira hii ni Fursa kwa vijana wachakarikaji ambao wapo tayari kujiendeleza na kukua zaidi kwenye Sales, kwani huku utakutana na watu mbalimbali na mafunzo mbalimbali vitakavyokupelekea wewe kukua zaidi Career wise. Wapo watu wengi wameanzia huku na wapo watu wengi wapo mpaka sasa hvi na wanajipatia kipato kikubwa sana ambacho huwezi kidhania wala kutegemea
Malipo ya kazi hii ni kama ifuatavyo, Transport Allowance (Pesa ya usafiri), Commision na Muda wa Maongezi.
ZINGATIA:
Kazi Hii sio zile za wale Ma Freelancer wanaotembea Barabarani kuuza Laini za Simu. HAPANA,
KAZI HII INAFANYIKA IN A PROFESSIONAL WAY, Unakuwa kama sales Professional kwanzia kwenye kuwatafuta wateja mpaka kuwapata, So ita involve Cold Calls, Appointment Arrangements, Na Namna nyingine kwani wateja wanaotakiwa hapa ni wateja wenye uwezo kama Makampuni au watu wenye uwezo wa kulipia huduma za Postpaid.
Kwa ambao wapo tayari au ambao wana uzoefu zaidi wanaweza kunicheki kupitia namba 0717016789 (Call/Whatsapp) au kupitia Email - norkim1991@gmail.com
Mkinicheki kupitia whatsapp inakuwa bora zaidi
Asanteni sana na karibuni sana wapambanaji tukatengeneze pesa na kujenga Uchumi wetu.