BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 985
- 1,297
Tabora iyoKwa waliopo tabora mwenye tangazo la nbs tabora atutumie kwa picha humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabora iyoKwa waliopo tabora mwenye tangazo la nbs tabora atutumie kwa picha humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimetoka kibit nimekosa hadi nauli ya kurudi hapa napost kwa kutumia wireless ya mtuNdio maana wametegeshea coz wanajua fika watoto wao ndio waliofanikiwa kusoma hiyo coz, ili waendelee kuwabeba kwa kuwa wanavigezo, sasa ni kwa nini hiyo coz wasiilete huku mikoani kuwepo na kituo cha kutolea hayo mafunzo ili watoto wa maskini wasihangaike kwenda dar ambako gharama ya maisha ni kubwa ukizingatia mtu hana ndugu aishi wapi akiwa hapo chuoni, nikisema hizo nafasi ziko kwa watoto wao wanasema acha maneno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko mkoani na anuan ni meneja wa takwimu mkoa s.l.p.703 TaboraTabora nlikua nataka lile tangazo lenye sifa za mwombaji pamoja na address ya kutuma maombi nbs mkoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Deadline leowakuu kwa aliyeona tangazo Mwanza naomba atuwekee tujue sifa
meneja takwimu wa mkoa,ofisi ya taifa ya takwimu, s.l.p 891 DodomaJaman tangazo LA dodoma naomba sanaaaa mnisaidie pliiiiiz
Inna babymeneja takwimu wa mkoa,ofisi ya taifa ya takwimu, s.l.p 891 Dodoma
Sifa ni hzo hzo kwa mikoa yote
Woow rafk angu upo?Inna baby
Asante mkuu ila nahitaji maeneo areas for field workmeneja takwimu wa mkoa,ofisi ya taifa ya takwimu, s.l.p 891 Dodoma
Sifa ni hzo hzo kwa mikoa yote
Ww nenda simiyu afu unalipwa mshahara lak 2 40 afu huna ndugu ukoKwani lazima wote muombee Dar, wengine muende hata Simiyu
Asante mkuu ila nahitaji maeneo areas for field work