mps
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 406
- 588
S
ipo hivi sio upendeleo ni kwmba serikali imepitisha Sheria kuwa takwimu zote rasmi za serikali zitakusanywa na watu waliosoma kozi maalum ya data collection ambayo inapatikana Eastc Changanyikeni kwa muda wa miez 2 tu[/
QUOTE]
Sio kwwli sheria inataka watakwimu wenye angalau na elimu ya cheti.Ndo maana wenye shahada,stashahada pia wanatumiwa.Isipokuwa kuna ushirikiano kati ya nbs na eastc ndo maana wanapeana shavu.Ila mtakwimu wa UDSM/UDOM na wa CHANGANYIKENI wote wana sifa sawa i