Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Huwa wanaingia chumba fulani kwenda kuogeshwa na huyo mama. Sina uhakika ni dawa gani nyingine wanapewa baada ya hapo. Kuna mtu kani PM anataka nim pe namba ya huyo mama au nimuelekeze vizuri anakopatikana. Panda gari za Jet/Lumo - Kariakoo shuka kituoni kwa GUDE ukifika hapo uliza kwa mama msambaa!
Yeah.. Namfahamu huyu mama ni maarufu sana hapo kwa Gude, unajua watu wa Tanga ( kama wako humu watakubaliana na mimi) wana dawa yao maarufu inaitwa Ndele, hiyo ni Kiboko, wenyewe wanaijua........ labda anayefahamu namna inavyofanya kazi atujuze zaidi..... mie nilisimuliwa na jamaa yangu mmoja mwenyeji wa huko Tanga