Tanzania itaanza kuitafuta nafasi yakucheza Fainali za World cup 2014 kwakucheza na Chad,tukishinda tutakutana na mshindi kati ya Lesotho na Burundi,tukipita hapo tutaingia kwenye kundi"D"litakalo zijumuisha:SUDAN,MORROCO,na GHANA.kazi kwa Paulsen.
<br />
<br />
Nikweli wangu nimefuatilia nikaona kuna makosa niliyoyafanya na tayari nimeshafanya Editing.