vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,373
- 2,513
Uzi huu ni sehemu ya maoni ya mashabiki mtazamo wao, hauna lengo la kufundisha watu majukumu kwasababu tunaamini tuna benchi la ufundi, wachezaji na uongozi unaojua nini cha kufanya.
Tuje kwenye mada, siku ya Ijumaa timu ya Yanga itamaliza mechi yake ya hatua ya makundi kwa kucheza mechi Cairo dhidi ya Al Ahly.
Je mwananchi ungependa Yanga iongoze kundi au ikibakie hapo hapo kwenye nafasi ya pili?
Kama Yanga itaongoza kundi atapata nafasi ya kuanzia ugenini kwenye mechi yao ya kwanza ya robo fainali na kukutana na timu itakayoshika nafasi ya pili kwenye kundi A, B, au C.
Mpaka sasa ni timu moja pekee ndio iliyokuwa na uhakika wa kuongoza kundi, ambayo ni Asec Mimosa ila timu zilizobakia zote zinasubiri hadi mechi ya mzunguko wa mwisho.
Kundi A
1. TP Mazembe/ Mamelod
Kundi B
1. Asec Mimosa
2. Simba/Wydad/Galaxy
Kundi C
Petro Luanda/ Es Tunis/ Al Hilal
Je mwananchi ungependa mechi ya robo tupewe yupi hapo? Binafsi ningependa timu yeyote kutoka group B na C wale wa group A watuache kwanza hadi huko mbeleni ndio watupe kama tuki qualify.
Tuje kwenye mada, siku ya Ijumaa timu ya Yanga itamaliza mechi yake ya hatua ya makundi kwa kucheza mechi Cairo dhidi ya Al Ahly.
Je mwananchi ungependa Yanga iongoze kundi au ikibakie hapo hapo kwenye nafasi ya pili?
Kama Yanga itaongoza kundi atapata nafasi ya kuanzia ugenini kwenye mechi yao ya kwanza ya robo fainali na kukutana na timu itakayoshika nafasi ya pili kwenye kundi A, B, au C.
Mpaka sasa ni timu moja pekee ndio iliyokuwa na uhakika wa kuongoza kundi, ambayo ni Asec Mimosa ila timu zilizobakia zote zinasubiri hadi mechi ya mzunguko wa mwisho.
Kundi A
1. TP Mazembe/ Mamelod
Kundi B
1. Asec Mimosa
2. Simba/Wydad/Galaxy
Kundi C
Petro Luanda/ Es Tunis/ Al Hilal
Je mwananchi ungependa mechi ya robo tupewe yupi hapo? Binafsi ningependa timu yeyote kutoka group B na C wale wa group A watuache kwanza hadi huko mbeleni ndio watupe kama tuki qualify.