Nafasi 50 za kazi ya muda mfupi

Mi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....

Unajua niliiangalia hiyo figure nikawa nawaza hii ni 9500 au 95,000 ?

Nikaona labda mishahara ya kibongo. Lakini hapana, hiyo mbona kama hela ya lunch (sehemu ya kueleweka) vile?

Tumefikia pahali watu wanakubali kufanya hizi kazi kwa sababu hawana jinsi tu, lakini bora mtu aseme hatulipi mshahara tunagharamia usafiri na hela ya lunch 9,500.

Lakini si ajabu kuna kazi nyingi zinalipa hivyo.

Siku 20 ni mwezi wa kazi huo, mshahara wa mwezi huo ni 190,000.

Hapo mtu hajala, hajapanda basi mpaka Ubungo.
 
Unajua niliiangalia hiyo figure nikawa nawaza hii ni 9500 au 95,000 ?

Nikaona labda mishahara ya kibongo. Lakini hapana, hiyo mbona kama hela ya lunch (sehemu ya kueleweka) vile?

Tumefikia pahali watu wanakubali kufanya hizi kazi kwa sababu hawana jinsi tu, lakini bora mtu aseme hatulipi mshahara tunagharamia usafiri na hela ya lunch 9,500.

Lakini si ajabu kuna kazi nyingi zinalipa hivyo.

Siku 20 ni mwezi wa kazi huo, mshahara wa mwezi huo ni 190,000.

Hapo mtu hajala, hajapanda basi mpaka Ubungo.
Huu ni unyonyaji mbaya sana.......
 
Ujenzi.......
Ujenzi vs printing....hivi kinalipa zaidi.anaweza akawa anawanyonya na wewe pia unaweza ukawa unawanyonya hao wajenzi kama na mimi/mwingine akisema anawalipa ngapi wafanyakazi wake.
Kunyonya inategemea sana na ulipwaji wa mtu...anaweza ikawa kweli ana wanyonya ila hatujui anaingiza sh ngapi na faida sh ngapi
 
Kuna watu mabingwa wa kulalamika humu sijapata picha ukikosa kazi unalalamika haya fursa hiyo hapo bado watu wanalalamika nendeni shamba tuu sasa maana hamna namna..
 
Kwa siku unatumia mia nane kwenda ubungo na kurudi kutoka ubungo kwenda home....ktk 9500 inabaki 8700, hujala hujanywa maji,hujanunua vocha mana kukaa mbali na home lazma uwe na tahadhari ya muda wa maongezi!

Hapo ktk elfu tisa na mia5 inabaki nn!?

Ikumbukwe hyo inakua ni fulltime job! Unaka almost mwezi mzimq afu mfukoni unabaki na elfu 3 tu...
 
Mi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....
Wacha ukware weye; kama mtu hapati hata elfu mbili kwa siku kwa nini asiende kuchukua hiyo laki mbili in 20 days, fanya kazi yako waache waamue wenyewe!
 
Mi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....
Bro wapi unipatie kazi hiyo maana nimekaa him xina cha kufanya
 
Mi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....
BBromimi nimemaliza form 4 na Nina division 1 ya mwisho, sins cheti cha computa but kwa baadhi ya mambo ya PC nipo vizuri, kama hautojari no yangu ni 0-655-777-272 na email ni slyhckr@gmail.com ,au kapesly1@yahoo.com au kapesly@autlook.com .....

Nafanya kazi yoyote ile ambayo ni legal, naishi now Mbezi-malamba mawili:D:D
 
Mi Nina vijana wangu site, wanalamba 15000 per day na msosi juu hawana hata cheti cha chekechekea iweje hao Wa vyeti uwape 9500!. Acha unyonyaji kwa kisingizio cha uhaba Wa ajira.....
Mh niunganixhe huko mm n kijana mwenye nguvu nying nying tu
 
Hallow habarini wakuu,

Tuna nafasi 50 za kazi ya muda mfupi kwa vijana. Kazi hii ni ya kupiga chapa (kuprint) documents. Itafanyika kwa siku 20.

Tunahitaji vijana angalau (at least) waliomaliza kidato cha nne na wenye cheti cha kompyuta (certificate of computer applications).

Kama una cheti, stashahada au shahada na hauko engaged na kazi yoyote kwa sasa pia tunakukaribisha.

Malipo ni sh 9500/= kwa siku bila benefit nyingine yoyote.

Sehemu ya kazi ni maili moja kibaha.

Usafiri wa kutoka ubungo mpaka maili moja utatolewa kwa kila siku ya kazi (Kwenda na kurudi).

Tuma maombi tu kama unaishi dar au kibaha.

Andika barua ya maombi pamoja na CV kwa lugha uipendayo, kiswahili au kiingereza.

Kutuma maombi: printingjobvijana50@gmail.com

Tuma mapema kwa sababu maombi yatafanyiwa kazi kadri yanavyokuja.

Karibuni.

Mwisho Wa maombi ni lini mkuu
 
Developer, Tunaomba feedbacks. Au kama kuna alie-apply akapigiwa simu au kurudishiwa email aje atoe ushuhuda hapa.
Kwa uzoefu wa hapa, siku hizi watu wanaweka tu matangazo mradi wahanga wa ajira watume CV na kuanza kuwatapeli.

Hata watoa matangazo ya ukweli, mkishamaliza usaili au kutimiza idadi ya applicants, ni uungwana kurudi hapa na kuwatangazia wengine ili kuondoa usumbufu kwa waliochelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom