Servant Of Allah
Member
- Aug 9, 2018
- 7
- 6
kaka ulipata wapi iyo Familia ebu tupeane mchongo kakaKila la kheri mkuu. bahati kama hiyo niliwaikuipata mimi , ila kwa upande wangu ilikuwa pande za Australia . Ile familia waliniambi nikitaka barua ya mwaliko niwaambie na hata kazi waliniambia watanitafutia , nikawajibu kwanza sina passport. wakaniuliza kupata passport inagharimu kiasi gani ? nikawajibu si chini ya 150,000 nikatumiwa kama AUD 200 hivi kwa ajiri ya huo mchakato....