Nafanyaje kupata Hati ya Kusafiria (Passport) kwa haraka?

puker

JF-Expert Member
Nov 22, 2018
938
1,844
Habar zenu wakuu. Naombeni msaada katika hili. Nimepata bahati ya kupata rafiki anaeishi kanada. Tumekuwa tukiwasiliana kwa muda mrefu kidogo. Sasa imefika wakati anataka kunialika nikamtembelee katika nchi hiyo.

Kwa namna alivyonipa taarifa ameniambia itakuwa mwezi October mwaka huu. Hivyo amenitaka kufanya mpango wa kupata passport mapema ili kuepusha usumbufu utakaojitokeza pindi muda huo ukifika.

Sasa nimekuja hapa jukwaani mnisaidie. Je, muda nilionao naweza kufanikiwa hilo kwa wakati. Sijui taratibu zozote zinazohusu kupata hati hiyo?

Lakini pia, nafahamu huwezi kupata hati hiyo bila kuwa na kitambulisho cha taifa kwa Sasa. Upande wangu hicho kitambulisho sina Ila tayari nilishajiandikisha, Kuna hatua sikumaliza na ndio Mana sikukipata, nakumbuka waliniambia ni upigaji wa picha.

Kwa wazoefu je, kwa muda nilionao naweza kufanikisha kupata hati hiyo kabla ya mwezi wa kumi?

Kiukweli sitaki kupoteza nafsi hiyo hadhimu, maana Mungu akijalia ndio inaweza kuwa chanzo cha kubadilishana Maisha yangu.

Msaada wenu wakuu, nifanyeje?
 
Nikutoe hofu muda ulionao unatosha kinachotakiwa ni upambanaji.

Kamilisha kwanza upatikanaji wa kitambulisho cha taifa. Baada ya hapo mambo mengine yaendelee, mwaka 2014 kipindi naomba visa ya canada nilituma maombi ubalozi wa canada ulioko Nairobi kwa sasa sifahamu kama taratibu zimebadilishwa ama la.

Katika yote visa ndo cha muhimu sana na upatikanaji wake unavigezo vyake, kwa sasa tafuta kwanza kitambulisho.

Nikutakie kila la kheri mkuu
 
 
Nikutoe hofu muda ulionao unatosha kinachotakiwa ni upambanaji.

Kamilisha kwanza upatikanaji wa kitambulisho cha taifa. Baada ya hapo mambo mengine yaendelee, mwaka 2014 kipindi naomba visa ya canada nilituma maombi ubalozi wa canada ulioko Nairobi kwa sasa sifahamu kama taratibu zimebadilishwa ama la.

Katika yote visa ndo cha muhimu sana na upatikanaji wake unavigezo vyake, kwa sasa tafuta kwanza kitambulisho.

Nikutakie kila la kheri mkuu
Ahsante Sana mkuu kwa kunielewesha, lakini pia unaweza kunijuza vigezo vya kupata viza ya Canada ili nijue namna ya kujipanga na upande huo pia.
 
Ongezea na hii kama utahitaji msaada zaidi kuna nyuzi nyingi zinazungumzia haya mambo kama yako.
Welcome to Tanzania Immigration Department
 
Kigezo chao kikubwa ni kuwa aminisha kuwa ukienda Canada huzamii moja kwa moja, na jinsi ya kuwaaminisha ni uthibitisho kua kuna kitu au vitu ambavyo vitakufanya urudi Tz mfano familia kwamba una mke (kama wewe me) au mme kama wewe ni ke.

Kumbuka hicho ni kigezo kimoja, na hapo kama kweli una familia itabidi uwe na birth certificate ya mtoto/watoto cheti cha ndoa nk. Kimsingi uwe na uthibitisho kua endapo utapata visa huendi moja kwa moja. Au kama umeajiliwa itabidi uonyeshe ruhusa toka kwa mwajili lakini pia kinakua kigezo cha wewe kurudi bongo kwa sababu unakitu cha kufanya huko.

Kimbizana na muda maana utakapomalisha document zinazohitajika uhamiaji na kisha kupata hati, kuna muda wa kutuma maombi ya visa Nairobi (sina hakika kama utaratibu ni ule wa mwanzo) kusubiri maombi yako unaweza kukaa hata week moja au mbili ndo maombi yarudishe majibu.

Maombi ya visa yanalipiwa so jiandae kwa hilo pia, na kabla ya kuanza michakato ya visa mwambie mwenyeji wako wa Canada akupatie barua ya mwaliko. Hii barua hua inanguvu kufakinikisha upatikanaji wa visa, kwenye barua aandike purpose ya wewe kumtembelea hii ni muhimu sana

Natumai nimeeleweka kama kuna mahali hujanipata nifahamishe.

Cheers!!

Ahsante Sana mkuu kwa kunielewesha, lakini pia unaweza kunijuza vigezo vya kupata viza ya Canada ili nijue namna ya kujipanga na upande huo pia.
 
Kigezo chao kikubwa ni kuwa aminisha kuwa ukienda Canada huzamii moja kwa moja, na jinsi ya kuwaaminisha ni uthibitisho kua kuna kitu au vitu ambavyo vitakufanya urudi Tz mfano familia kwamba una mke (kama wewe me) au mke kama wewe ni ke.

Kumbuka hicho ni kigezo kimoja, na hapo kama kweli una familia itabidi uwe na birth certificate ya mtoto/watoto cheti cha ndoa nk. Kimsingi uwe na uthibitisho kua endapo utapata visa huendi moja kwa moja. Au kama umeajiliwa itabidi uonyeshe ruhusa toka kwa mwajili lakini pia kinakua kigezo cha wewe kurudi bongo kwa sababu unakitu cha kufanya huko.

Kimbizana na muda maana utakapomalisha document zinazohitajika uhamiaji na kisha kupata hati, kuna muda wa kutuma maombi ya visa Nairobi (sina hakika kama utaratibu ni ule wa mwanzo) kusubiri maombi yako unaweza kukaa hata week moja au mbili ndo maombi yarudishe majibu.

Maombi ya visa yanalipiwa so jiandae kwa hilo pia, na kabla ya kuanza michakato ya visa mwambie mwenyeji wako wa Canada akupatie barua ya mwaliko. Hii barua hua inanguvu kufakinikisha upatikanaji wa visa, kwenye barua aandike purpose ya wewe kumtembelea hii ni muhimu sana

Natumai nimeeleweka kama kuna mahali hujanipata nifahamishe.

Cheers!!
Ahsante sana mkuu, na kuhusu gharama ya viza ni kama kiasi gani hivi?
 
Tafta kitambulisho cha taifa passport now ni km kusukuma mlevi km auna kitambulisho sema nikuelekeze njia nyepesi na ya haraka vinginevyo utakaa sana.
 
Changamkia fursa hiyo mkuu, hapo kwenye 'kitabu' hakuna shida kabisa hakikisha unapata namba ya NIDA kwanza na kama docs nyingine zote zipo basi lishaisha hilo ukiwa na mtu wa kukushika mkono unapata kitabu ndani ya siku tatu, na ukifuata taratibu za kawaida its almost siku 10.

Tatizo linakuja ubalozini kwenye visa pale lazima uchange karata zako vizuri make sure una requirements zote zinazohitajika laasivyo utarudishwa sana na shida inakuja ukipoteza appointment moja kupata nyingine ni shughuli sana though sijui kwa ubalozi huo wa canada ila ukienda balozi ya germany balaa la "bi fatma" lazima ujipange.

By the way i wish you all the best mkuu, ukifika huko usigeuke nyuma shikilia mama ya kizungu huyo usimwache aende zake, huku bongo tupo busy kuikomboa ndege yetu iliyoshikwa na makaburu.
 
Changamkia fursa hiyo mkuu, hapo kwenye 'kitabu' hakuna shida kabisa hakikisha unapata namba ya NIDA kwanza na kama docs nyingine zote zipo basi lishaisha hilo ukiwa na mtu wa kukushika mkono unapata kitabu ndani ya siku tatu, na ukifuata taratibu za kawaida its almost siku 10.

Tatizo linakuja ubalozini kwenye visa pale lazima uchange karata zako vizuri make sure una requirements zote zinazohitajika laasivyo utarudishwa sana na shida inakuja ukipoteza appointment moja kupata nyingine ni shughuli sana though sijui kwa ubalozi huo wa canada ila ukienda balozi ya germany balaa la "bi fatma" lazima ujipange.

By the way i wish you all the best mkuu, ukifika huko usigeuke nyuma shikilia mama ya kizungu huyo usimwache aende zake, huku bongo tupo busy kuikomboa ndege yetu iliyoshikwa na makaburu.
Umenichekesha Sana mkuu. Nitaliwakilisha taifa vyema.
 
Changamkia fursa hiyo mkuu, hapo kwenye 'kitabu' hakuna shida kabisa hakikisha unapata namba ya NIDA kwanza na kama docs nyingine zote zipo basi lishaisha hilo ukiwa na mtu wa kukushika mkono unapata kitabu ndani ya siku tatu, na ukifuata taratibu za kawaida its almost siku 10.

Tatizo linakuja ubalozini kwenye visa pale lazima uchange karata zako vizuri make sure una requirements zote zinazohitajika laasivyo utarudishwa sana na shida inakuja ukipoteza appointment moja kupata nyingine ni shughuli sana though sijui kwa ubalozi huo wa canada ila ukienda balozi ya germany balaa la "bi fatma" lazima ujipange.

By the way i wish you all the best mkuu, ukifika huko usigeuke nyuma shikilia mama ya kizungu huyo usimwache aende zake, huku bongo tupo busy kuikomboa ndege yetu iliyoshikwa na makaburu.
Huyo bi fatma ana balaa gani mkuu....maana me nina mpango wa kupita hapo nielekee Jelemani.
Natamani nijue balaa la huyu mama na namna ya kupita juu ya mabega yake
 
Mkuu, hivi siku hizi bado kuna marafiki wa kualikana na kutembeleana? Je unamfahamu huyo mcanada? Kuwa makini na matapeli, ukiona baadaye anakuambia utume pesa sijui za document gani ujue ni tapeli huyo, canada pia ni nchi ngumu sana hasa immigration kukatiza kirahisi...
Habar zenu wakuu. Naombeni msaada katika hili. Nimepata bahati ya kupata rafiki anaeishi kanada. Tumekuwa tukiwasiliana kwa muda mrefu kidogo. Sasa imefika wakati anataka kunialika nikamtembelee katika nchi hiyo.

Kwa namna alivyonipa taarifa ameniambia itakuwa mwezi October mwaka huu. Hivyo amenitaka kufanya mpango wa kupata passport mapema ili kuepusha usumbufu utakaojitokeza pindi muda huo ukifika.

Sasa nimekuja hapa jukwaani mnisaidie. Je muda nilionao naweza kufanikiwa hilo kwa wakati. Sijui taratibu zozote zinazohusu kupata hati hiyo.

Lakini pia, nafahamu huwezi kupata hati hiyo bila kuwa na kitambulisho Cha taifa kwa Sasa. Upande wangu hicho kitambulisho sina Ila tayari nilishajiandikisha, Kuna hatua sikumaliza na ndio Mana sikukipata, nakumbuka waliniambia ni upigaji wa picha.

Kwa wazoefu je, kwa muda nilionao naweza kufanikisha kupata hati hiyo kabla ya mwezi wa kumi?

Kiukweli sitaki kupoteza nafsi hiyo hadhimu...maana Mungu akijalia ndio inaweza kuwa chanzo Cha kubadilishana Maisha yangu.

Msaada wenu wakuu, nifanyeje?
 
Nikutoe hofu muda ulionao unatosha kinachotakiwa ni upambanaji.

Kamilisha kwanza upatikanaji wa kitambulisho cha taifa. Baada ya hapo mambo mengine yaendelee, mwaka 2014 kipindi naomba visa ya canada nilituma maombi ubalozi wa canada ulioko Nairobi kwa sasa sifahamu kama taratibu zimebadilishwa ama la.

Katika yote visa ndo cha muhimu sana na upatikanaji wake unavigezo vyake, kwa sasa tafuta kwanza kitambulisho.

Nikutakie kila la kheri mkuu
Kwema kaka!
 
Kwa sasa watu wengi sana wanaomba passport mpya, nimeomba wiki tatu zilizopita na leo nimeambiwa nirudi Baada ya wiki mbili, so andaa wiki tano au tafuta wa kumuhonga.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom