NAFANYA COLLECTION YA STEMPU

NAFANYA COLLECTION YA STEMPU

Barakaeli174

Senior Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
171
Reaction score
142
Wana Jf,

Nafanya collection ya stempu za posta na za TRA, stempu hizo nahitaji picha zilizopo kama za ndege, wanyama... nazikusanya kwa ajili ya kumbu kumbu, stempu hizo lazima ziwe za kuanzia miaka ya 1965-1998 isizidi miaka iyo na inaweza ikawa ya kabla ya 1965. ukinipa stempu 3 za miaka tofauti nakupa vocha ya sh 2,000. scan na utume kwenye email cglct@hotmail.com ukishatuma andika sms kwenye namba 0766112752 kuwa umetuma ili niangalie na nikurushie vocha. Karibuni
 
Nilikua na stamps nyingi sana za express na za delay ngoja nizitafute.
 
Back
Top Bottom