Nakutaka Pasaka murua ....wajukuu zangu babu yenu naenda LAMU kupumzika pasaka hii...mwenye kutaka zawadi ani PM nimleteee
Angalia ukiingia Hotelini utakuta tayari ushalipiwa na chenji yako warudishiwa, pia ukimkanyaga mguu mtu anakuomba msamaha kwa usumbufu aliopata wakati wa kumkanyagawajukuu zangu babu yenu naenda LAMU kupumzika pasaka hii...mwenye kutaka zawadi ani PM nimleteee
nenda salama,lakini beware Lamu ni PWANI !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kweli kabisa DAR si LAMU angalia wasije wakakupumzika ww!
Angalia ukiingia Hotelini utakuta tayari ushalipiwa na chenji yako warudishiwa, pia ukimkanyaga mguu mtu anakuomba msamaha kwa usumbufu aliopata wakati wa kumkanyaga
HUKO lamu kuna wazee wanatembea na vinyesi vya watu kwenye vibox na unusanusa kama ugolo
........................ This............... LOL............. umenifurahisha mzeya, kuna ukweli hapo, ama ni zile hadithi..HUKO lamu kuna wazee wanatembea na vinyesi vya watu kwenye vibox na unusanusa kama ugolo
kamanda naona unataka kuwaletea watoto zawadi father-xmas style.....take care mkuu huko uendako....asanteni wajukuu zangu..kweli kabisa Dar na Lamu yote miji ya pwani lakini si sawa...LAMU mchana dongo lakini usiku kubwaaaaaaa