Wakubwa zangu ambao mmeshatangulia naombeni ushaur naenda kusoma BAF mzumbe lakin me diploma nimesoma insurance and risk management.
Sijawahi kusoma account pia naenda kumeet na challenge ya watu waliosoma ECA na comb za biashara advance.
Nahitaji ushauri juu ya hili.
Sijawahi kusoma account pia naenda kumeet na challenge ya watu waliosoma ECA na comb za biashara advance.
Nahitaji ushauri juu ya hili.