Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hapa ushindwe mwenyewe Beibe....B52 usinifanye ni muwinde jg hapa mana nahis kipapatio hakinitoshiiii hahhaahahah lol
Hapa ushindwe mwenyewe Beibe....B52 usinifanye ni muwinde jg hapa mana nahis kipapatio hakinitoshiiii hahhaahahah lol
Teh namngoja ila hatokei....
Lol hii bahati eeeh??
Hehehehhe jg unawasikia hao wakina b52 haya mi thimooo mchanga wa pwani
Hahaaaa ushachelewa ngoja labda next time lol keshoooo tutakugongea green kijana usijaliBeibe ! Naskitika sikua online kwa muda!
Then sikua najua kama uko Mwz pia, kabla sijamwaga sera kwako, hebu nipe greenlight nikufungukie? Nijilipue kwako ? Au gepu limeshajazwa?
Hahaaaa ushachelewa ngoja labda next time lol keshoooo tutakugongea green kijana usijali
Asante remmyPole mwaya.
Maumivu ya jana after kutolewa jino jg kipendhi kivulii hehhehhe sitaki ugomvi na my husninyo akuuuSitaki kuamini kwamba beibe nasty umekwishalala, bali naamini umeshapita hapa, na hii "mineno kusaona!"
unachofanya ni kutafakari !
Pia sitaki kuamini kwamba hutojaza nafasi aliyoiwacha Husninyo!
Niko full hisia utai'cover hili ombwe .
Hahaaaa ushachelewa ngoja labda next time lol keshoooo tutakugongea green kijana usijali
beibe nasty kwanza pole kwa kuumwa,
pili kabla ya kwenda Hosptal nitafute mana ninajua dawa nzuri sana ya jino.
Maumivu ya jana after kutolewa jino jg kipendhi kivulii hehhehhe sitaki ugomvi na my husninyo akuuu
beibe nasty uko wapi?
Ukija nijulishe tukale samaki wa kuchoma kwa Jg
beibe nasty uko wapi?
Ukija nijulishe tukale samaki wa kuchoma kwa Jg
Mwambiee!
Jino lake linahitaji dawa specialMwambiee!
Kama si hivyo hilo jino litaponaje ?
Jino lake linahitaji dawa special
Haaahahhaahha uwiii nawasikiliza mtu na agent wake mi sina neno namtaka huyo samaki we sema wapii watu hawaapo dakika sifuri.kumbe unanimithigii eeehNadhani !
Labda!
Kaingia mitini kiaina, huyu ni wa kumsaka kwenye ma'sredi mengine kamata mkono, rudisha hapa kwake!
b52........jino lake linahitaji dawa special