Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 7,902
- 21,311
Nina chumba changu nilipanga mabibo mwisho. Now nimehamia moro kama utapata changamoto ya hapa na pale basi tuwasiliane nikuachie chumba. Nililipa kodi hadi mwezi wa pili mwakani ila hakai mtu. Ntakuachia chumba bure tu kama mchango wangu kwako.