Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,356
- 1,161
Kwamba kama kwa Mungu kuna mda basi .Mungu ana mwanzo!!
Mara Mungu yawezekana hayupo###Mara hutaki habari ya roho Mtakatifu,,,,unataka watu wajadili free sio??Mbona kama umechanganyikiwa?? Mbona unataka kila mtu awe confused kama wewe?? Mungu sio topic ilioanzishwa na watu.Mungu ni Roho na inakupasa kwenda maili nyingi sana kumuelewa.
Kumbe na wewe umegundu ilo kua mtoa mada anajiganyaga kanyaga sana. Ahsante
Yesu ni mavi gani wewe?
Ni mtu wa kufikirika!
Unamuamini wewe.....sisi wengine hatumtambui!
Tunajua ni imaginary person..hakuwepo kiukweli!
Sijui hapo huelewi nini?
Kweli hii ni K-Vant kubwa maana umepost comment nne tena zenye kufanana
Hizi mada zinahitaji watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria....wanaojua kuchakata their frontal lobes in deep na sio wawaza papuchi kama mm na zero IQ....
Ntakuja kusoma comments....changieni
Unajua mechanisms za time kweli?Kwanini unapinga jambp ambalo huna uhakika nalo ?
Unajua mechanisms za time kweli?
Umejuaje kama kwa Mungu hakuna muda ?Namuunga mkono mtoa mada. Kwa Mungu hakuna muda ndio mana imeandikwa kwamba yeye anajua ulipotoka na unapokwenda kwasababu kila kitu kinatokea papo kwa hapo in real-time.
Umejuaje kama kwa Mungu hakuna muda ?
Nakuuliza swali,muda ni kiumbe au muda ni nini hasa ?
Je kuna sehemu ambayo hakuna muda ?
Je muda unaweza kusimama na kama unaweza lini utasimama ?
Ili tukio lifanyike lina hitaji nini ? Kwa munasaba wa mada husika.
Duu somo la astronomy liwe compulsory kwa kweli.Umejuaje kama kwa Mungu hakuna muda ?
Nakuuliza swali,muda ni kiumbe au muda ni nini hasa ?
Je kuna sehemu ambayo hakuna muda ?
Je muda unaweza kusimama na kama unaweza lini utasimama ?
Ili tukio lifanyike lina hitaji nini ? Kwa munasaba wa mada husika.
Duu somo la astronomy liwe compulsory kwa kweli.
Naona uvivu hata kukuelezea kwasababu kwa maneno yako tu unaonekana wewe ni beginner sana kwenye haya mambo.
Nilikuuliza kama unajua mechanisims za time ukaniambia unajua, lakini hujui.
Kuna nyuzi za time ameandika Da Vinci zipitie.
Hapo ndo tutaweza kuendesha meaningful conversation, la sivyo nitakuwa na bishana na mtu ambaye hatulingani intellect.
Sasa kwanin uwepo uwezo tofaut Wa kuelewa neno .....ilhali inatakiwa wote tulifate linavyotakaKingine kincho sound tofauti masikioni mwangu ni huu msemo kua ili uelewe maandiko ya biblia inabidi roho mtakatifu akushukie kwanza kwakweli mm sidhani kama ni kweli kwamba inambidi ashuke kwanza kisha ndio akufunulie ...noo asee hapana. Kwanini?
Kwa mujibu wa katekismu au mafundisho yoyote yale ya kikristo inafundisha kua Roho mtakatifu hutupatia mapaji yake saba ambapo kati ya hayo mapaji ni Hekima na Elimu. indi tu binaadamu anapozaliwa Mungu humbarikia kila kitu baadhi ya mapaji tunazaliwa nayo japo sio wote, moja ya paji tunalozaliwa nayo ni paji la Hekima, japo kutokana na malezi au mazingira anayokulia mtoto paji hilo laweza kufifia. Hivyo basi katika kutafsiri maandiko ya bible kinachotumika ni Hekima, paji la hekima ndio linalowezesha kuitafakari andiko la biblia, na ukumbuke anayetoa uwezo huo wa kua na hekima Ni Roho mtakatifu.. Hekima hiyo inakuwezesha pindi unaposoma andiko tu kwa mara ya kwanza mojakwamoja unafahamu kua hili andiko lina ujumbe fulani ndani yake, kama vile darasani kuna mtu akiona swali kwa mara ya kwanza tu bila kucherewa haraka anafahamu hili swali lahitaji nini. Hivyo basi kuna watu wanayo hekima hiyo wengine hawana..katika kutafsiri maandiko pia kuna makundi mawili ya watu ambayo ni (i)Watu ambao wakiona andiko wanalielewa na wanaweza kilielezea mbele ya wengine (ii)kuna wengine wakielewa andiko hawawezi kulielezea kwa wengine kutoka na uwezo mdogo wa kuwasilisha hoja mbele za watu {nipo kundi namba mbili}
kwa mantiki hiyo Roho mtakatifu hakushukii ili uweze fafanua andiko ila anakua ashakujalia kipawa chake toka siku wazaliwa...
pia haya ni mawazo yangu
Unafaham kukupigwa parapanda nn kitatokea??
HEE KUMBE UKISEMA PARAPANDA MANAKE NI UTOTO?? WE UNA IMAN KWANZA ..ILI TUENDE SAWAHebu kuwa ww acha utoto parapanda gani hiyo???
Uo ni utoto hadithi za kitabu zinakupangaje kirahisi ivyo?HEE KUMBE UKISEMA PARAPANDA MANAKE NI UTOTO?? WE UNA IMAN KWANZA ..ILI TUENDE SAWA
NDIO MANA NIMEULIZA IMAN YAKO KWANZAUo ni utoto hadithi za kitabu zinakupangaje kirahisi ivyo?
HahahMbinguni ni wapi ,ndo kwenye hizo sayari au unasogea mbele kidogo
Kama Siku ya duniani ni sawa na Siku buku za mbinguni ,na kama muda mbinguni una kuwa measured with the same principle as on earth then we can roughly approximate with a reasonable precision the location of the so called mbinguni .ngoja nitafute pakuanzia....
kwanza naunga mkono nadharia ya kwamba duniani miaka 1000 ni sawa na siku 1..
kama tunavyojua kuwa muda unatofautiana kati ya nchi na nchi,sayari na sayari nyingine,,,,
hakuna anayeijua physical location ya mbinguni ipo wapi angani,,
kwa mantiki hiyo mbinguni inaweza kuwa billion miles kutoka kwenye galaxy yetu,,,,
mfano mzuri ni proxima centauri hii ni nyota iliyo karibu na dunia,,,
mwanga wa jua kuufikia ni miaka 4.24,wakati dunia ni dakika 8..
na chombo cha nasa walichokituma voyage 1 mwaka 1977 kwenye space hadi kifike proxima centauri kitatumia miaka kama 80000,,,
hapo tuna assume hakuna error yoyote iliyotokea kwani mpaka sasa kimecover 1/600 light year ndani ya miaka 30,,,
lakini mpaka 2025 kitakuwa kime rest in space sababu energy itakuwa imekwisha.......
na kwa nadharia hii naunga mkono hoja mbinguni kuwa siku 1 ni sawa na miaka 1000 duniani..
kwa sababu hatujui location ya mbinguni ipo wapi.........