Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,356
- 1,161
Kwamba kama kwa Mungu kuna mda basi .Mungu ana mwanzo!!
Mara Mungu yawezekana hayupo###Mara hutaki habari ya roho Mtakatifu,,,,unataka watu wajadili free sio??Mbona kama umechanganyikiwa?? Mbona unataka kila mtu awe confused kama wewe?? Mungu sio topic ilioanzishwa na watu.Mungu ni Roho na inakupasa kwenda maili nyingi sana kumuelewa.
Mara Mungu yawezekana hayupo###Mara hutaki habari ya roho Mtakatifu,,,,unataka watu wajadili free sio??Mbona kama umechanganyikiwa?? Mbona unataka kila mtu awe confused kama wewe?? Mungu sio topic ilioanzishwa na watu.Mungu ni Roho na inakupasa kwenda maili nyingi sana kumuelewa.