Bado hawajakuelewa!Nawe unataka 'ashindwe'?
Wewe kijana wa Koromije huwa unashabikia udikteta ambao hauna athari kwako tu,Zaidi ya mwaka mmoja na nusu uliopita nilianzisha mada hapa kuhusu moja ya takwa langu dhidi ya hii serikali.
Mada yenyewe hii hapa Nataka rais Magufuli ashindwe
Nilisema wazi kabisa kuwa nataka jamaa 'ashindwe'. Siyo 'ashindwe' kwenye kila kitu. Hapana.
Bali 'ashindwe' katika kitu fulani kilicho mahsusi kabisa.
Sasa baada ya JF kupigwa ban ya wiki tatu nadhani sasa mlio wengi mtaelewa nilichokimaanisha kwenye hiyo mada yangu ya tarehe 13, Disemba 2016.
Kwa vile kusoma na kuelewa ulichokisoma ni janga la kitaifa, kuna watu hawakuelewa kabisa nilichokiandika wakati ule.
Walikuwa wakisoma wanaishia kwenye neno 'ashindwe' na kufikia mahitimisho yanayofurahisha akili zao.
Kuwa eti nimesema nataka 'ashindwe' lakini wanashindwa kuelewa nimesema nataka 'ashindwe' kwenye jambo gani hasa.
Nimeonelea ni vyema kukumbushana tena kulingana na kilichotokea.
Je, bado kuna wanaopenda kuona akifanikiwa kwenye hilo tamanio lake? Nitashangaa sana kama mkiwepo.
Zaidi ya hapo nimefurahi kuona tena JF imerejea hewani.
Na ni matumaini yangu hakutakuwa na uoga. Natumaini tutaendelea kuwa vile vile tulivyokuwa kabla ya 'ban'.
We've made it this far. Twelve years and counting. Now let's go for 20.
Stay woke folks.
hapa sasa nimekuelewa ashindwe ki namna gani, na kama ndo hivi bas ashindwe kweli na alegee kabisaMimi nataka ashindwe kwa jina la uhuru.
Uhuru wa maoni. Uhuru wa kujieleza. Na uhuru wa vyombo vya habari.
nyani shida yako ni ubinafsi, unasupport kile chenye manufaa kwako na si kwa wote.
" THINK BIG "
hapa sasa nimekuelewa ashindwe ki namna gani, na kama ndo hivi bas ashindwe kweli na alegee kabisa
Zaidi ya mwaka mmoja na nusu uliopita nilianzisha mada hapa kuhusu moja ya takwa langu dhidi ya hii serikali.
Mada yenyewe hii hapa Nataka rais Magufuli ashindwe
Nilisema wazi kabisa kuwa nataka jamaa 'ashindwe'. Siyo 'ashindwe' kwenye kila kitu. Hapana.
Bali 'ashindwe' katika kitu fulani kilicho mahsusi kabisa.
Sasa baada ya JF kupigwa ban ya wiki tatu nadhani sasa mlio wengi mtaelewa nilichokimaanisha kwenye hiyo mada yangu ya tarehe 13, Disemba 2016.
Kwa vile kusoma na kuelewa ulichokisoma ni janga la kitaifa, kuna watu hawakuelewa kabisa nilichokiandika wakati ule.
Walikuwa wakisoma wanaishia kwenye neno 'ashindwe' na kufikia mahitimisho yanayofurahisha akili zao.
Kuwa eti nimesema nataka 'ashindwe' lakini wanashindwa kuelewa nimesema nataka 'ashindwe' kwenye jambo gani hasa.
Nimeonelea ni vyema kukumbushana tena kulingana na kilichotokea.
Je, bado kuna wanaopenda kuona akifanikiwa kwenye hilo tamanio lake? Nitashangaa sana kama mkiwepo.
Zaidi ya hapo nimefurahi kuona tena JF imerejea hewani.
Na ni matumaini yangu hakutakuwa na uoga. Natumaini tutaendelea kuwa vile vile tulivyokuwa kabla ya 'ban'.
We've made it this far. Twelve years and counting. Now let's go for 20.
Stay woke folks.
Ila kweli harakati za POMBE zinagonga mwamba.....mwaka na nusu ushapita hakuna kitu. IMAGINE HATA MALAIKA WANGEIZIMA MITANDAO KIPINDI KILE LEO WANGEIWASHA KUNGEKUWA NA MABADILIKO GANI?????
hahah.. wewe jamaa bana, misimamo yako ni hatariNani bado anataka rais M asishindwe?
hahah.. wewe jamaa bana, misimamo yako ni hatari
kwa sasa kuna idadi ya watu wameelewa ulichomaanisha mkuu na wameelewa baada ya tukio la jf lilitokea nyuma hapoNililiona hili tokea Disemba 2016 na mwezi uliopita likatimia kwa kiasi fulani.
Ila kipindi hicho watu hawakunielewa niliposema nataka rais ashindwe kwenye hiyo azma yake.
Kama wana akili watakuwa washanielewa!
Zaidi ya mwaka mmoja na nusu uliopita nilianzisha mada hapa kuhusu moja ya takwa langu dhidi ya hii serikali.
Mada yenyewe hii hapa Nataka rais Magufuli ashindwe
Nilisema wazi kabisa kuwa nataka jamaa 'ashindwe'. Siyo 'ashindwe' kwenye kila kitu. Hapana.
Bali 'ashindwe' katika kitu fulani kilicho mahsusi kabisa.
Sasa baada ya JF kupigwa ban ya wiki tatu nadhani sasa mlio wengi mtaelewa nilichokimaanisha kwenye hiyo mada yangu ya tarehe 13, Disemba 2016.
Kwa vile kusoma na kuelewa ulichokisoma ni janga la kitaifa, kuna watu hawakuelewa kabisa nilichokiandika wakati ule.
Walikuwa wakisoma wanaishia kwenye neno 'ashindwe' na kufikia mahitimisho yanayofurahisha akili zao.
Kuwa eti nimesema nataka 'ashindwe' lakini wanashindwa kuelewa nimesema nataka 'ashindwe' kwenye jambo gani hasa.
Nimeonelea ni vyema kukumbushana tena kulingana na kilichotokea.
Je, bado kuna wanaopenda kuona akifanikiwa kwenye hilo tamanio lake? Nitashangaa sana kama mkiwepo.
Zaidi ya hapo nimefurahi kuona tena JF imerejea hewani.
Na ni matumaini yangu hakutakuwa na uoga. Natumaini tutaendelea kuwa vile vile tulivyokuwa kabla ya 'ban'.
We've made it this far. Twelve years and counting. Now let's go for 20.
Stay woke folks.
Kiranga uliiona hii?