Mkuu, huyu Muanzisha hii mada hatunae tena.. Ametangulia mbele za haki.Ana jini mahaba huyo
Asee, kafa lini?Rest in peace hommie
Nadhani jana. Kuna uzi wake hapa jukwaani. Angalia hata chini ya avatar yakeAsee, kafa lini?
Sina mbavu!Hilo ni cannibal tu sio demu
Mbona wengine tunapenda hawa wanawake wanaolia. Mi napenda sana mwanamke asiyeficha hisia zake. Kuna mwingine utaona anajitahidi kuficha hisia sasa sijui kwanini. Nafikiri kujiachia ndo raha yenyewe.Kila mwanamke ana njia yake ya kufika kileleni na anapofika huwa hana control ya mwili wake Tena.
Wengine Wana Piga kelele, wengine hugugumia, wengine wa vibrate kama Nokia ya tochi yote hayo ni katika mwendolezo wa safari ya kilele cha mafanikio ya nyege
Kila siku huwa naomba nisikutane wa Mwanamke wa type Hii maana anaweza kuniuwa imagine afike kileleni Mara nne tano usk mzima itakuaje?
Pole sana mkuu mafanikio ya kilele cha genye hayajawai kumuacha mwanamke salama
Mwanamke anae Lia ni mzur San kitandan lakini sio anae Uma mkuuMbona wengine tunapenda hawa wanawake wanaolia. Mi napenda sana mwanamke asiyeficha hisia zake. Kuna mwingine utaona anajitahidi kuficha hisia sasa sijui kwanini. Nafikiri kujiachia ndo raha yenyewe.
Mleta uzi kafariki Jana. Apumzike kwa amaniKila mwanamke ana njia yake ya kufika kileleni na anapofika huwa hana control ya mwili wake Tena.
Wengine Wana Piga kelele, wengine hugugumia, wengine wa vibrate kama Nokia ya tochi yote hayo ni katika mwendolezo wa safari ya kilele cha mafanikio ya nyege
Kila siku huwa naomba nisikutane wa Mwanamke wa type Hii maana anaweza kuniuwa imagine afike kileleni Mara nne tano usk mzima itakuaje?
Pole sana mkuu mafanikio ya kilele cha genye hayajawai kumuacha mwanamke salama
Unataka kuanzisha Uzi hapa au cijakuelew mkuuNisaidien jinsi ya kupost kitu mm cjui
Atang'oaje korodani? kinadhalia haiwezekani labda ungesema pua au mdomomfunge kamba mdomoni vinginevo siku nyingine atakung'oa korodani