Nadhani huyu dada atakimaliza kifua changu

Nadhani huyu dada atakimaliza kifua changu

Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
 
Yule mleta taarifa wa jana Deadbody aliweka ripoti ya daktari inayoonyesa mtoa mada huyubalikuwa anasumbuliwa na Kifua. Na pia kwenye page ya Facebook pia alikuwa anaenda hospital kwa ajili yakifua kumbana.

Kuna namna huyo mwanamke wake achunguzwe.
 
Yule mleta taarifa wa jana Deadbody aliweka ripoti ya daktari inayoonyesa mtoa mada huyubalikuwa anasumbuliwa na Kifua. Na pia kwenye page ya Facebook pia alikuwa anaenda hospital kwa ajili yakifua kumbana.

Kuna namna huyo mwanamke wake achunguzwe.
Jamani mnatutwisha tu mizigo wanawake! kwani kumng'atang'ata ndio apate maradhi ya kifua?! Mungu amempenda Ibra87 basi tumuombee alale mahala pema peponi
 
Kiukweli nikiunganisha huu Uzi na namna nilivyokuwa nawasiliana kwa ukaribu na Ibra na namna alivyokuwa ananielezea tatizo lake Naumia sana na ninahisi yule Dada ni JINI kabisa ila MUNGU amrehemu tu Rafiki yangu kipenzi Ibra
 
Chukua video ya ushahidi mkuu. Baada ya shughuli muonyeshe.
 
Badala ya Godoro uwe unamuweka juu ya Jiwe. Itakusaidia sana baadae
 
Wakati mnafanya weka tofali karibu then ulete mrejesho!
 
Mkuu hilo ni pepo Kali sana,na usipokuwa makini ipo cku atang'oa bustani ya Ed..acha uzinzi oa ataacha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom