Nadhani huyu dada atakimaliza kifua changu

Nadhani huyu dada atakimaliza kifua changu

Pole, tafuta koti zito la suti uwe unavaa ili akikung'ata anaishia kung'ata koti tu!
Wee naye wenzio wanamuombe apumzike kwa amani wewe tena unaendelea kuchangia uzi wa dada anayemng'ata au huja ona comments za wenzio wawili hapo juu yako?!
 
Signature yake masikini Ibra87 alikuwa anamuombea Neema apumzike kwa amani, na yeye Mungu kamuita
 
Cannibalism Hiyoooo....!
Solution Fanya De-beaking (mkate Mdomo).
Inatumika Sana Kwa Kuku Wanaokula Mayai Na Vifaranga.

Mafanikio Mema Mkuu.
 
Duuh! Kumbe Mkuu Yupo Otherside
R.I.P
 
R I P mleta mada, hakika kifo chako kimeleta pengo sn
 
ni mapenzi haya haya ya kawaida au maana angalia ndugu usije kuwa na demu wa kijini
 
Hilo ni jambo la kawaida kwa hawa viumbe,nilikuwa na mpenz wangu alikuwa na tabia ya kufinya na kung'ata akaribiapo kumaliza na huwa inafika kipind anaongea Lugha za utoton na wakat mwingine huweza kuvuta shuka kama Mtu anayetaka kukata roho,nilichokuwa nakifanya baada ya kujua akifanyacho akaribiapo kumaliza ni kumbana kichwa kama uchinjapo Kuku,il asinijeruh kwa meno,na hapo hapo nimeibana mikono yake il asinikwaruze;mpaka nihakikishe amemalza ndiyo namuachia,kiukwel ilinisaidia kuyaepuka majeraha
 
Wasalaam,

Nina tatizo ndugu zangu,tena tatizo kubwa sana.Kifupi ni kwamba mimi nina mpenzi wangu ambaye kwasasa yapata miezi sita toka tulipoanza mahusiano yetu. Nampenda sana na mimi nadhani ananipenda sana.

Nimeandika nadhani kwa kuwa sipo ndani ya moyo wake lakini kwa vitendo na maneno ni wazi kuwa ananipenda sana. Lakini tatizo lililonifanya nije hapa kwenye jukwaa letu ni juu ya hali inayomtokea mwenzangu tukiwa kwenye tendo.

Mwenzangu kila anapokaribia kukifikia kile cha mlima kilimanjaro basi huning'ata kifuani kwa meno na kunisababishia maumivu makali sana na ikitokea nimemuweka staili tofauti hasa dogstyle basi kama godoro halina foronya basi hujikuta akilitoa vipande vipande kutokana na hali inayomtokeaga.

Lakini kingine kinachonishanga ni hili.Baada ya kumaliza tendo na akaniona natokwa na damu kifuani au akiona chini kuna vipande vya godoro huonyesha kushangazwa na hali pia huniuliza kipi kilichonisibu.Kwa kweli hali hii imenichosha sana na kila ninapojaribu kumwambia ukweli na jinsi anavyoniumiza huwa haamini na kudai kuwa namsingizia.

Je, wanajukwaa wenzangu kunamtu ameshawahi kukutana na hali hii? Je kwa kina dada je nikweli kuna raha za aina hii ambazo husababisha kero kwa watu wenu?

Naomba msaada na ushauri wenu maana mpaka kufikia hapa kifua changu kimejaa makovu kutokana na meno.

Mkuu tafuta namna ya kumdhibit uonapo anakaribia kumaliza,hasa kwa kumbana kichwa na mikono utaondokana na adha hiyo,ni mzuka tu huwa umempanda,hivyo mchukulie kawaida
acha usiendelee kutenda dhambi ya uasherati, angekua mkeo ningekushauri

Ni zombi huyo sio mtu wa kawaida bana
 
Ipo siku atakung'oa hiyo pipe yako, kuwa makini aisee
 
Nna wa kwangu akifika kilelen akiwa stail ya kifo cha mende anapiga kabar huyo nikijisahau kidogo kabar ikimkalia vizur anapiga juu na chin yaan miguu na mikono ina kaba unaweza ukanyaa babaake
 
Wee naye wenzio wanamuombe apumzike kwa amani wewe tena unaendelea kuchangia uzi wa dada anayemng'ata au huja ona comments za wenzio wawili hapo juu yako?!
kumbe mpenzi wake kamuua kweli maskini.inabidi polisi wafanye uchunguzi asije akaua tena mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom