Katibu mtendaji hafanyi hatimizi wajibu wake kimegeuka kijiwe cha kupiga soga na kuombana rushwa bila kutekeleza majukumu yake.
Hii Nactvet makao makuu ya Dodoma mnashindwaje kumaliza shida za wanaohusika, kazi ni kuombana posho mnashindwa kumsaidia raisi katika kuwatumikia wananchi.
Kazi kutupiana mpira.ukiwapigia simu zao hawapokei. kazi kupiga stori za umbea .
Kwanini hawatendei haki nafasi zao
Hii Nactvet makao makuu ya Dodoma mnashindwaje kumaliza shida za wanaohusika, kazi ni kuombana posho mnashindwa kumsaidia raisi katika kuwatumikia wananchi.
Kazi kutupiana mpira.ukiwapigia simu zao hawapokei. kazi kupiga stori za umbea .
Kwanini hawatendei haki nafasi zao