NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

Hongereni. Mkasome sana na sio kula bata. Msuli wa chuo ni tofauti na O au A level. Kuna kudisco, ukiwa na incomplete 1 unaweza kwenda nyumbani.
Kumbuka kuna UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa.
 
Wakuu kwa ambao bado hatujafanya application hvi wamesha fungua website ili nitume maombi?? Naombeni msaada ili nami nitume maombi...
 
Back
Top Bottom