NACTE: IFM, CBE na Arusha Tech siyo Vyuo Vikuu bali ni Taasisi za Elimu

hivi watu wakienda kuhojiwa clouds tv akili zinakuwaje.

hapa naona jamaa anakwambia IFM na CBE sio vyuo vikuu.

sasa degree na zinatolewaje hapo !

labda mimi ndo sielewi au!

IMG_0288.jpg
 
hivi watu wakienda kuhojiwa clouds tv akili zinakuwaje.

hapa naona jamaa anakwambia IFM na CBE sio vyuo vikuu.

sasa degree na zinatolewaje hapo !

labda mimi ndo sielewi au!

View attachment 1927807
 
Lakini hivyo ndivyo vitasisi vinavyotoa wahitimu wanaoajilika na kujua kazi. mfano wahasibu wengi wa universities except wa Mzumbe wengi wao ni tia maji sana.
Sijui ni unasumbuliwa na ugumu wa kuelewa au nini. Hakuna aliyesema hawaajiriki. Hoja iliyopo mezani ni kwamba hizo taasisi haziitwi vyuo vikuu. Simple, usichoelewa ni nini hapo ?


Learn to read so to comprehend, sio unasoma soma tu ujibu. Sawa ?????
 
Kuna Vyuo vinaitwa Polytechnics vyenyewe hulenga kutoa wataalam waliobobea katika Vitendo ( Practical oriented) kuliko theory. Hivi ni vyuo mfano DIT- kwenye Engineering; IFM - Fedha na Uhasibu; CBE elimu ya Biashara hata Ulaya vipo vingi mfano
1.Peter the Great Polytechnic Institute (Политехнический институт императора Петра Великого)
2.Kalinin Polytechnic Institute (Ленинградский политехнический институт имени Калинина).
Kwa hiyo mtoa mada kama ni msomi wa chuo kikuu penda kufanya utafiti kidogo kuliko ku conclude vitu .
3.The Blekinge Institute of Technology (BTH- Blekinge Tekniska Högskola)
4. Massachusetts Institute of Technology (MIT) hiki kinatoa mpaka PhD
 
Tuekezeni sifa ya chuo kuitwa chuokikuu na sionkushindana kama hamjaenda shule ya kutosha kufanya mijadala.
 
Back
Top Bottom