BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
- Thread starter
- #41
Mnawaza bichw lenu moja tu waone engine vichwa kama nazi hapatunatingisha vichwa vyote hapo...but kimoja
wadada wataki please zaidi lol
Mnawaza bichw lenu moja tu waone engine vichwa kama nazi hapatunatingisha vichwa vyote hapo...but kimoja
wadada wataki please zaidi lol
Kichwa kingine kile huwa kinatingishwa? naonaga kama kinahema vileMhhhh! BB! kichwa kipi!? hahahahaha lol!
Mnawaza bichw lenu moja tu waone engine vichwa kama nazi hapa
Bora manyanza darlinNo Comments
Kichwa kingine kile huwa kinatingishwa? naonaga kama kinahema vile
Kichwa kingine kile huwa kinatingishwa? naonaga kama kinahema vile
nakifeel kikianza kukubaliana na makosa yake mwisho kabisa kabla ya kuomba msamaha wa machozi huwa kinahema mfululizounakiona saa ngapi?
au huwa una kihisi kinahema lol
una ki feel lol
nakifeel kikianza kukubaliana na makosa yake mwisho kabisa kabla ya kuomba msamaha wa machozi huwa kinahema mfululizo
umelianzisha limalizeHahahahahaha lol!...I reserve my comments ...This question should be directed to the BOSS
nakifeel kikianza kukubaliana na makosa yake mwisho kabisa kabla ya kuomba msamaha wa machozi huwa kinahema mfululizo
umelianzisha limalize
Hili bichwa lako lina usumbufu sanaukisikia miujiza ndo uko hapo
jiulize hakina miguu.kinasimama
hakina mikono kinachapa watu wazima mpaka wanalia lol
hakili kitu,kinatema maziwa
kinaongezeka ukubwa pia kikikasirika
huoni muujiza huo lol
Mhhhhhhhhh? umelipima au?Hili bichwa lako lina usumbufu sana
Mie huwa wakati mwingine napenda vifupisho wakati mwingine napenda maelezo inategemea na situation ila kuna ile ya msg huw a inaboa sana unaandika weeeee mwenzio eti anajibu ok bby! hapo huwa nafume ile mbaya. halafu BB kama umeshakutana na hii ! unakutana na mwanaume mnaexchange namba mnaanza kuchati, siku ya pili anakwamba nitumie msg nzuri. khaaaaa! huwa nashindwa kuelewa msg nzuri zinaenda na feelings sasa hatujawahi hata kukaa au kwenda dinner unamwandikiaje sasaHaya kwanini huwa mna penda vifupisho wakati wenzenu wako serious na wanajielezea sana, kama issue ya barua BAK bora pale juu umetetea maana arua page tatu inajibiwa nusu page lol?
Kwa kweli hiyo ya msg nzuri imejaa sana hasa mijitu mizima inapenda kweli sema hivo, maana sasa utampaje msg nzuri au kumsifia hata huja kaa nae au ku do nae?Mie huwa wakati mwingine napenda vifupisho wakati mwingine napenda maelezo inategemea na situation ila kuna ile ya msg huw a inaboa sana unaandika weeeee mwenzio eti anajibu ok bby! hapo huwa nafume ile mbaya. halafu BB kama umeshakutana na hii ! unakutana na mwanaume mnaexchange namba mnaanza kuchati, siku ya pili anakwamba nitumie msg nzuri. khaaaaa! huwa nashindwa kuelewa msg nzuri zinaenda na feelings sasa hatujawahi hata kukaa au kwenda dinner unamwandikiaje sasa
Duh wajameni?ukisikia miujiza ndo uko hapo
jiulize hakina miguu.kinasimama
hakina mikono kinachapa watu wazima mpaka wanalia lol
hakili kitu,kinatema maziwa
kinaongezeka ukubwa pia kikikasirika
huoni muujiza huo lol
Kumbe na wewe nalijua hilo? linaboa sanaKwa kweli hiyo ya msg nzuri imejaa sana hasa mijitu mizima inapenda kweli sema hivo, maana sasa utampaje msg nzuri au kumsifia hata huja kaa nae au ku do nae?
hahahahahaaaa lol mijitu mingine huwa sijui ya shamba, eti niandikie msg nzuri wapo wengi tu mwaliMie huwa wakati mwingine napenda vifupisho wakati mwingine napenda maelezo inategemea na situation ila kuna ile ya msg huw a inaboa sana unaandika weeeee mwenzio eti anajibu ok bby! hapo huwa nafume ile mbaya. halafu BB kama umeshakutana na hii ! unakutana na mwanaume mnaexchange namba mnaanza kuchati, siku ya pili anakwamba nitumie msg nzuri. khaaaaa! huwa nashindwa kuelewa msg nzuri zinaenda na feelings sasa hatujawahi hata kukaa au kwenda dinner unamwandikiaje sasa