zuri
Rejaooo. Mtoto mzuri na pua lote hilo
kwanza napenda kuwashukuru wana jf kwa kunipokea jamani nyie ndo marafiki zangu naombeni ushauri yaani ninapenda sana watoto wadogo nikimuona mtu amembeba mtoto huwa nasisimka mwili mzima kwa kumfurahia huyo mtoto.mimi sina mtoto
yaani huwa nachanganyikiwa kabisa nifanyeje yani hadi ndoto zangu huwa naota niko na watoto nikiamka nakuta tu nimekumbatia mto mie mimi ni mwanamke am 30 sijaolewa niko tu single
nifanyeje wana jf niondokane nakhali hii akhsanteni
Kwani hiyo pua mbaya??.... inapendwa sana, hata bebii mwenyewe anaikubali.
Ni-pm nikuelekeze dawa!so linatibika je? dawa ni nini?
Karibu kwangu... nitakupatia mtoto mzuriii!![/QUOTE]
Mkuu na hiyo sura yako, mtoto atakuwa mzuri kweli mmhh!!!
mbona suluhisho lipo very open-hapo ni kuzaa tu-ndo kunaweza kukupatia mtotokwanza napenda kuwashukuru wana jf kwa kunipokea jamani nyie ndo marafiki zangu naombeni ushauri yaani ninapenda sana watoto wadogo nikimuona mtu amembeba mtoto huwa nasisimka mwili mzima kwa kumfurahia huyo mtoto.mimi sina mtoto
yaani huwa nachanganyikiwa kabisa nifanyeje yani hadi ndoto zangu huwa naota niko na watoto nikiamka nakuta tu nimekumbatia mto mie mimi ni mwanamke am 30 sijaolewa niko tu single
nifanyeje wana jf niondokane nakhali hii akhsanteni
Sio kuzaa tu Bebii anatamani pia kuwa na mtoto. Sasa akizaa alafu jamaa akamchukua huyo mtoto tatizo si litabaki palepale?Pale LOVE CONNECT kuna jamma katangaza anataka mtoto atamtunza ila wewe hataki muishi woote... Perfect Match...
eeeeeeh !!!!!!???????Dalili za ushoga hizi
Eehh Mungu rehemu hiki kizazi za shetani