Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,280
Huyo prophet anasema kiongozi wa upinzani Tanzania mwenye mwele nyeupe ananyemelewa na mauti.
Akauliza jina la kiongozi mwenye nywele nyeupe akaambiwa anaitwa Lowassa. Akasema whatever his name is anamwombea na balaa la mshituko wa moyo ambao unaweza sababisha kifo.
Pia emeendelea kusema kuna kiongozi hapo kwa Madiba atajiua. Anawaombea wote hayo mabalaa yawapite mbali.
Teh teh teh..
Mimi kinachanishangaza kwanini hawaonyeshwi mambo mazuri wao wanajua kutabiri kuhusu ugonjwa na vifo tu?
Au ndiyo mbinu anataka Lowassa amfuate?
Haya mambo ya dini sometimes hayana tofauti na watumiaji wa opium
Akauliza jina la kiongozi mwenye nywele nyeupe akaambiwa anaitwa Lowassa. Akasema whatever his name is anamwombea na balaa la mshituko wa moyo ambao unaweza sababisha kifo.
Pia emeendelea kusema kuna kiongozi hapo kwa Madiba atajiua. Anawaombea wote hayo mabalaa yawapite mbali.
Teh teh teh..
Mimi kinachanishangaza kwanini hawaonyeshwi mambo mazuri wao wanajua kutabiri kuhusu ugonjwa na vifo tu?
Au ndiyo mbinu anataka Lowassa amfuate?
Haya mambo ya dini sometimes hayana tofauti na watumiaji wa opium