Apumzike kwa amani Waziri wetu Mkuu Edward Lowasa, hakika ni kiongozi aliyependwa na kila rika kwa uhodari wake wa kuchapa kazi.
Kwetu sisi tulio hai haswa viongozi walio pewa dhamana katika nafasi mbalimbali, fanyeni kazi kwa kutanguliza masilahi ya wananchi, tatueni kero za wananchi ili siku mkitangulia mbele za Mungu basi watakao baki hai wakusimulie kwa mambo mazuri.
Kuna viongozi JEURI, VIBURI, wananyanyasa walio chini, wabadhirifu, wazinzi na kuwadhalilisha wasio na uwezo. Tuache hayo mambo.
Kifo kipo, tenda mema kwa binaadamu wenzako, huwezi kuzikwa na Cheo chako. Ukifa kila kitu kinaishia hapohapo.
kamwe huwezi kuzikwa na vyeo ulivyo tunukiwa hapa duniani bali mambo mema ulio watendea binaadamu wenzako ndio yatakusaidia mbele za mungu.
Kwetu sisi tulio hai haswa viongozi walio pewa dhamana katika nafasi mbalimbali, fanyeni kazi kwa kutanguliza masilahi ya wananchi, tatueni kero za wananchi ili siku mkitangulia mbele za Mungu basi watakao baki hai wakusimulie kwa mambo mazuri.
Kuna viongozi JEURI, VIBURI, wananyanyasa walio chini, wabadhirifu, wazinzi na kuwadhalilisha wasio na uwezo. Tuache hayo mambo.
Kifo kipo, tenda mema kwa binaadamu wenzako, huwezi kuzikwa na Cheo chako. Ukifa kila kitu kinaishia hapohapo.
kamwe huwezi kuzikwa na vyeo ulivyo tunukiwa hapa duniani bali mambo mema ulio watendea binaadamu wenzako ndio yatakusaidia mbele za mungu.