DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,737
- 81,808
Kiukweli mimi simuungi mkono nabii Titto kwa anayoyafanya lakini pia simpingi sana. Sasa leo hii watu wengi tunapombeka na pia tutatembea na vijakazi pia na kufanya mapenzi na wanawake ambao hatujawaoa tunafanya tu sana.
Kwa hiyo nabii Tito kaona atuletee dini inayoendana na matendo yetu maana hii dini ya Uislam, Ukiristo imetushinda kufata misingi yake.
Truth will set u free.
Kwa hiyo nabii Tito kaona atuletee dini inayoendana na matendo yetu maana hii dini ya Uislam, Ukiristo imetushinda kufata misingi yake.
Truth will set u free.