Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Mungu yupi aliyemtokea???Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
MUNGU hakumtokea Nabii Danieli, wala Eliya, wala Isaya, wala Yohana Mbatizaji hakumwona MUNGU, wala Ibrahimu mzee wa imani hakumwona MUNGU, iweje Suguye nabii fake wa uongo anayehubiri udanganyifu, na kufundisha upagani atokewe na MUNGU?
Au hamjui kuwa hata Shetani pia anaitwa mungu (2Wakorintho 4:4) na anao uwezo wa kujibadilisha na kujifanya mwana wa nuru? (2Wakorintho 11:14)