Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,414
- 25,943
Mpumbavu....... kulikuwa na haja gani ya kututajia majina ya hao covid 19 ?Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv