Hizo pesa za kugawagawa ilhali washirika wake wengi ni makapuku, na mali kama hayo magari huyo nabii wako anatoa wapi? au naye ndiyo wale wale wanaosemekana kuwa wadau wa mackenzie?Viongozi wa dini wajifunze kwa nabii mkuu,kuisaidia jamii,Watu wanateseka na maisha
View attachment 2489839
msijilimbikizie Mali
Neno liendane na matendo,msikalie kufukuzana makanisani kulinda maslahi yenu,saidieni watu,isaidieni jamii ipone