Ni kweli dada, ila pia kuna vitu vingine vimepotea na hii ni mbaya kwa community. Najua nitasemwa kwa post hii ila ukweli ni kwamba zamani kulikua na control kubwa zaidi ya state over trade and the economic sector in general. na hii ilikua inasaidia sana watu wa vijijini ku-access first necessity goods kwa bei nafuu (or at least affordable) na general discipline od the economic sector ilikuwepo (sio agressive competitions we have today). Kwa kifupi kuna vitu tunashukuru kua navyo leo ila pia kuna vitu muhimu tunavimiss leoNakupongeza sana kwa hii mada. Ni wengi hawajui wapi tumetoka, leo wanakuta ma laptop, mitandao, simu za mikononi, gari nzuri nzuri, ni vyema hapa tukipata wakumbusha au kuwafunda tulipotokea labda watakuwa na mtazamo mwingine katika hii dunia. Vijana kumbukeni, wazee wenu wametoka mbali sana na kukumbana na mengi mpaka leo mkaiona hii nchi kama hivi ilivyo ni neema kubwa sana ambayo inabidi muilinde na kuitunza, endeleeni katika hii mada bila kukwaruzana, kila mmoja ana fursa ya kusema yaliomkuta, yaliokuwepo kwa wakati wake.
Nakupa pongezi mleta mada. Mcheza kwao hutunzwa, chukulia hii kama tunzo kwako.
Mkuu, hiyo sigara kali umenikumbusha mbaaaaaaaaaali sana...Sigara zikiitwa Kali na Baridi. Hazikuwa na filter. Au bado zipo??
Ni kweli dada, ila pia kuna vitu vingine vimepotea na hii ni mbaya kwa community. Najua nitasemwa kwa post hii ila ukweli ni kwamba zamani kulikua na control kubwa zaidi ya state over trade and the economic sector in general. na hii ilikua inasaidia sana watu wa vijijini ku-access first necessity goods kwa bei nafuu (or at least affordable) na general discipline od the economic sector ilikuwepo (sio agressive competitions we have today). Kwa kifupi kuna vitu tunashukuru kua navyo leo ila pia kuna vitu muhimu tunavimiss leo
Hebu uwe na heshima ya kweli wewe unafikiri sisi ni kamashikamooni wazee mnaojifanya dot com wenzetu..
shikamooni wazee mnaojifanya dot com wenzetu..