Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,021
- 26,341
Infact magu Kuna baadhi ya vitu anafanya Poa sana kama Rais
Haiwezekani akawa anafanya mabaya kila siku .
Yes Kuna vitu anavifanya excellent Sana
Ila Sasa Kuna vijitu vile #Mataga yaani wanakera hatari unasifia mpaka unakera
Ushauri tu mzee wakumbuke watumishi wa UMMA hapo ndipo Kuna Credit yako ya msingi ili blunders zako zote zifutike automatically
Ukimaliza miaka yako wataziimba sifa zako mielele
Ukiwasahau Hadi unamaliza watasema "yule hakuwa Rais was watu Bali wa madaraja,ndege,mabwawa,na wasukuma"
Haiwezekani akawa anafanya mabaya kila siku .
Yes Kuna vitu anavifanya excellent Sana
Ila Sasa Kuna vijitu vile #Mataga yaani wanakera hatari unasifia mpaka unakera
Ushauri tu mzee wakumbuke watumishi wa UMMA hapo ndipo Kuna Credit yako ya msingi ili blunders zako zote zifutike automatically
Ukimaliza miaka yako wataziimba sifa zako mielele
Ukiwasahau Hadi unamaliza watasema "yule hakuwa Rais was watu Bali wa madaraja,ndege,mabwawa,na wasukuma"